Ukiachana na ushindi pamoja na kushushwa bei kwa vinywaji kwa baadhi ya sehemu, moja ya kiburudisho kikubwa ambacho sisi tuli-enjoy nacho ni kuona namna ambavyo watu maarufu wame style mavazi yao pamoja na jersey za Taifa Stars, wengi wao walipendeza na kuitendea haki jersey wengi walivaa jersey hii na jeans kitu ambacho kilikuwa perfect ukizingatia uwanjani vurugu jeans inakupa u-comfortability wa kukimbia, kucheza na kushangilia
Juma Jux & Shetta, Shetta yeye alivaa simple tu jeans, kicks na jersey wakati Juma Jux spice up muonekano wake na durag pamoja na chain, Juma tukupe tip kwenye sehemu kama hizi hizi chain jaribu kuzipumzisha nyumbani unless otherwise una ma-body guard.
Irene yeye alivaa the jersey na ripped jeans akamalizia na yellow kicks ambazo zili match na rangi ya jersey, dope.
Jokate Mwegelo yeye alivaa hii jersey na gray skin jeans amemalizia muonekano wake na gucci embellished shoes, kama ni sisi tungetoa hivi viatu na kumvalisha black au white shoes.
Irene Uwoya gave us that casual slayage, shoes on point, ripped gray jeans so fashionable she added mkanda na akachomekea, thats how you wear a jersey and make it look chic.
Hamisa Mobetto yeye alichagua kuvaa jersey yake na denim overall, we love that amesukia rasta, the hair added value kwenye muonekano wake, tumependa pia her simple makeup.
Malika Designer alivaa jersey yake ya rangi nyeusi, amemaliza muonekano wake na white skin jeans, kicks zinazoendana rangi na jersey akamalizia na miwani na accessory ndogndogo.
Mboni alivaa jersey ya blue na washed blue skin jeans amemalizia muonekano wake na belt nyeusi, viatu vya njano pamoja na wimani na side bag.
Wengi walipendeza, japo we have few tips kama next time wataenda kwenye football games
- Usivae accessories za gharama sote tunajua sehemu kama zile wezi wengi
- achana handbag nyumbani na vaa fanny pack ni ngumu mtu kukuvua fanny pack kuliko kupora handbag
- simple makeup zinaruhusiwa
- as much as we love jeans unaweza kuwa wa tofauti kwa kuvaa pants au biker shorts just to be fashionable.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-watu-maarufu-walivyo-slay-katika-taifa-stars-vs-uganda-crane-football-game/ […]