Wengi wetu huwatunapenda kuvaa viremba katika sherehe mbalimbali, lakini si kwamba tu hutumika katika sherehe unaweza kuvaa ofisini au hata katika shughuli zako za kawaida za kila siku. Katika pitapita zetu tumekutana na baadhi ya watu maarufu wakiwa wamevalia viremba vya kitenge na kuvinogesha vizuri kwa make up zao nzuri na namna walivyo accessorize, kama una sherehe au ungependa kuvaa remba la kitenge unaweza kupata idea za namna unaweza kulinogesha kama ambavyo watu maarufu hawa wamefanya.
Tumemuona mwanamitindo Batuli Mohammed ambae yeye alifunga kiremba chake cha kitenge na akanogesha na makeup nzuri pamoja na ombre pink lipstick.
Wakati pia tulimuona mwanadada Toke Makinwa akiwa amevalia remba lake la kitenge akamalizia na nude makeup huku akiwa ame-accessorize muonekano wake na statement gold necklace
Mwanadada Zamaradi Mketema yeye alivaa remba lake akiwa amemalizia ana smoke eyes, mude lips na yellow beaded necklace
Muna Love yeye alitu serve hili remba na gold and pink eye shadow akamalizia na burgundy lipstick huku akiwa ana drip in gold accessories
well we hope umepata ideas za kunogesha remba lako next time ukivaa kiremba cha kitenge
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-watu-maarufu-walivyonogesha-remba-la-kitenge-na-makeup-zao/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-watu-maarufu-walivyonogesha-remba-la-kitenge-na-makeup-zao/ […]