Sote tunawatamani wale ambao hawana sare za kazi, truth be told kuwa na sare kazini kunaweza kukufanya uwe mvivu kwenye kuzi-style na wengi tunachukia sare za ofisini kwa sababu hio, kila mtu anazivaa zinakuwa boring & basic. Lakini huitaji kuwa hivyo tena unaweza kupendeza na ku-uprade sare za kazini kwa kufanya haya
- Fit Matters
Ofisi nyingi huwa wanauliza tu unavaa size gani wanakuletea, hawachukui vipimo unaweza kukuta sare inakuwa kubwa au ndogo hakikisha unapata kila unachostahili “ushauri wetu kabla hatujaendelea kama unavaa small waambie medium ili upate nafasi ya kufanya marekebisho” ni bora uletewe kubwa maana utaweza kuipeleka kwa fundi uipunguze utakavyo, hakikisha inakufit vizuri as we always say “fit matters”
- Focus On What You Can Control
Sare tayari zipo pale huwezi kuzibadilisha, huwezi kuzibadilisha zikaonekana kivingine unachotakiwa kufanya ni ku-focus na kile ambacho unaweza ku-control vitu kama
- Nywele, Make up & Kucha
Hakikisha muonekano wako wa nywele, make up na kucha upo vizuri, sio kwa sababu unavaa sare basi hivi navyo unavisahau. Vitu hivi vinaweza ku-upgrade muonekano wako na watu wakasahau kama umevaa sare kama wengine.
2. Accessories
Yes spice it up ongezea accessories kwenye muonekano wako mfano: handbags, cover up, blazer, belt, scarf’s etc hivi vyote vinaweza kufanya muonekano basic kuwa boujee na kukufanya u-stand out.

3. Jewelries
Ongezea urembo kama vaa hereni ambazo ni formal lakini pia zina draw attention, saa, mkufu, pete ect vitu vidogo vidogo kama hivi vinaweza kuuongezea chachu muonekano wako na kufanya uipende sare yako ya kazini, mfano mzuri wa kuuangalia ni air hostess hawa wengi huwa wanajua nini cha kufanya na uniform zao, wanazi-pimp mpaka unatamani na wewe ungekua unavaa sare kazini kwako.
4. Viatu
hatujaongeza viatu kwenye accessories sababu hivi ni muhimu sana, unapovaa uniform kama utataka kui-upgrade hakikisha unavaa kiatu ambacho kitaondoa attention kwenye sare na kuweka attention kwake, hataka kisipokuwa ghali lakini kiwe na rangi nzuri, kisafi sio tu utakuwa ume upgrade muonekano wako bali pia utaonekana smart.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-ku-style-sare-zako-za-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-ku-style-sare-zako-za-kazini/ […]