Wanawake wengi huwa wanasema wanashindwa kuvaa mavazi ya aina fulani kwa sababu ya matumbo yao kuwa makubwa. Wengine huchagua kuvaa namna fulani ya mavazi kila siku kwa sababu tu wanahisi hayo ndiyo yanayowafaa na kuficha matumbo yao, okay lets say madira na vitenge ndiyo vinavaliwa hasa kwa wale ambao wanahisi matumbo yao makubwa.
Leo tumewaletea utatuzi na sio diet wala mazoezi bali ni tips za nini ufanye kuficha tumbo lako,
- High Waist Clothes
Hizi wengi wanazikimbia wakidhani zitawaonyesha tumbo lao, quite the opposite high waist clothes zinasaidia kulipa umbo lako proportion na kuficha tumbo lako. Wengi wenye matumbo wanakuwa wembamba katikati ya tumbo na maziwa ukiweza kupa-highlight hapa basi you won.
- The Right Undergarment
Hii ni kwa kila umbo unacho vaa ndani ndicho ambacho kita display nje, kwenye right under garments unaweza kuvaa ndani high waist underwear ukavaa na gauni lako nje ikakushape vyema lakini pia kuna vitu kama shape wear au corsets na zikakupa muonekano sahihi

- Peplum Tops / Dresses / Belt
Hizi ni tops, dresses au belts ambazo zimechanua kwa chini, hizi zinakupa proportion juu na kuficha tumbo lako kutokana na uchanuaji wake wa chini, kama unatumbo kubwa na huna vazi la aina hii kwenye kabati lako tunakushauri ukalitafute. Belts are the best kwa sababu unaweza kuivalia na kitu chochote na popote, kama unapenda nguo za kubana then hii ni suluhisho lako.
- Shift Dresses / Loose Dresses
Tunaposema loose dress hatumaanishi liwe loose au kubwa kuliko size yako litazidi kuonyesha kwamba umnene sana unacho hitaji ni lose yet fitted dress, ambayo inakukaa vyema mwilini. Iwe loose kama Inch moja au tatu isizidi hapo.
Well ni matumaini yetu tumekusaidia katika nini uvae endapo una tumbo kubwa.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuficha-tumbo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuficha-tumbo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 25522 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuficha-tumbo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuficha-tumbo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuficha-tumbo/ […]