Ladies wewe ni mmoja kati ya wale ambao unajitahidi sana kazini uonekane elegant na classy lakini unaona bado haujafanikiwa? Inawezekana kuna vitu vidogo vidogo una miss katika mionekano yako.
Leo tunakuletea tips zinazoweza kukusaidia uonekane classy na elegant
Fitted outfits / Right Materials
Hakikisha nguo zako zinakutosha vyema, zisikuachie wala kukubana sana lakini pia zisiwe zina expose mwili kwa kiasi kikubwa hakikisha kama vazi ni fupi basi sio ufupi wa kupitiliza. Pia material ya vazi yawe mazuri sio material ambayo labda hayapigiki pasi au material yame isha makesure hata kama ni ya bei rahisi basi yana ahueni

Color combination
dont be too shout or too dark, hakikisha una balance rangi za mavazi yako kama ambavyo una balance shobo, mavazi yasi-shout sana ukaonekana unapiga kelele wala yasiwe too dark ukashindwa kuonekana, kama utavaa vazi lina shout juu basi chini vaa dark and vice versa

Classy shoes & handbags
Viatu na handbag yako hakikisha ni vizuri na vinaendana na mazingira ya kazini, sio unavaa viatu vya club ofisini au bag ya clinic kazini makesure viatu visafi, vinakutosha vyema sio lazima viwe virefu. Medium handbag yenye quality and rangi nzuri.

Classic Accessories / Smell Good
Hakikisha unavaa accessoriea classy mfano chain, saa, hereni za size ndogo usivae mkufu una kidani kikubwa kama cha zuchu ofisini kama ni kidani kiwe cha size ya kati na kiwe kina maneno au art work nzuri, pia nukia vyema scent yako isiwaboe wengine kwa kunikia sana wala isinuke

Minimal Makeup/Right Hair Style
Makeup yako iwe simple tu ya day makeup usipake makeup kama unaenda kwenye event simple touchs a good lipstick your good nnywele iwe nzuri hata kama ni natural hair hakikisha umechana au imesukwa vyema

Tukutakie Week Njema Keep Slaying & Keep Winning’
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuonekana-classy-elegant-ofisini/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuonekana-classy-elegant-ofisini/ […]