Suit ni moja ya vazi ambalo lima heshimika sana,na mara nyingi huwa lina kuwa styled simple maana tayari lenyewe linaongea. Lakini sometimes kuwa simple sana kunaweza kufanya muonekano wako uonekane basic, kama wewe ni moja kati ya wale ambao wanavaa suit kazini au kwenye mikutano na sehemu mbalimbali na ungependa kuonekana more stylish basi hizi tips chache zitakusaidia,
- Rangi
Wengi wetu huwa tuna zile suit ambazo zinarangi za kutulia mfano blue, nude, black etc lakini pia unaweza kuwa tofauti kwa kuchagua rangi ambazo ni bold, mfano Mustard Yellow, Nyekundu, Kijani lakini hakikisha hizo rangi zinaendana na wewe usivae kitu ambacho hauko comfortable nacho. Ukivaa bold colors ni rahisi kuwa noticed kama ni muoga wa macho ya watu then usivae rangi zinazo shout sana.

- Pattern
Ni sawa kuvaa pattern iwe stripes, pattern au checked, ikiwa wengi huwa tunavaa suit ambazo ni normal hazina mambo mengi unaweza kuwa watofauti kwa kuvalia suit yenye patterns tofauti tofauti itakufanya u-stand out.

- Spice Things Up
Yes kuna njia nyingi za ku-spice suit yako kama unaweza kuvalia suspender,unawea ku-add belt kwenye blazer, kupaka makeup nzuri etc,hakikisha una kitu ambacho kinanyanyua muonekano wako na kukufanya uonekane wa tofauti.

- Show Some Skin
Sio kwasababu upo kazini basi ndio ujifungie mwili mzima ufunge mpaka kifungo cha mwisho,miguu na mikono ifunikwe no,unaweza kuonyesha some skin kwa kufungua vifungo kadhaa vya shirt, kukunja mikono ya coat na hata kuonyesha skin kwa kuvaa suruali ya suit ambayo inaishia juu kidogo na kuonyesha mguu wako kiasi.

Well tunakutakia week njema.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…