Unaolewa hivi karibuni na una stress za uvae nini bado hujapata pesa za ukumbi, vyakula,vinywaji etc. Well unaweza kupendeza ukiwa katika budget ambayo haiumizi sana.
- Jaribu Kutumia Wabunifu Wapya
Ikiwa wabunifu ndio wanaanza bei zao huwa reasonable hataki faida kubwa yeye anachojali afanye kazi nzuri ili aweze kupata refference ya kazi yake. Muhimu ni kuangalia kama yuko vizuri asije kukuharibia shughuli.

- Jaribu Kukodisha/Kutumia Gauni La Ndugu Yako La Zamani
Namna nzuri ya ku-save pesa kwenye gauni ni kukodisha au kutumia vazi la mtu mwingine aliyelivaa miaka ya nyuma, hii hutumiwa zaidi na wazungu mama anaweza kumpa mwanae gauni lakini akalimodify kwa bei rahisi na kulifanya lionekane la kisasa zaidi na kuwa na touch’s zake.
- Kuwa Creative
Huitaji kubadilisha magauni, unaona hawa watu maarufu wanavaa magauni matatu manne kwenye harusi zao na wewe ukataka, wenzetu mara nyingi huwa wanakuwa sponsored inamaanisha designer anampa mavazi ili amtangazie sisi tunanunua, all you need ni kuwa creative kunahizi detached dress unaweza kuvaa na skirt kwenye ndoa ukavua, unaweza kuwa na sleeveless dress kwenye ndoa ukavaa na kiji-jacket kujifunika harusini ukavua etc etc.

- Makeup
Makeup kama ambavyo tumeshauri kwa designer unaweza kujaribu makeup artist anae chipukia lakini pia kwasasa kila familia ina makeup artist unaweza kuomba ndugu yako akakufanyia kwa bei rafiki.
- Accessories & Viatu
Tafuta ambavyo ni quality na affortable, kumbuka kuchukua ambavyo utaweza kuvivaa mara nyingine tena sio unavaa siku ya harusi tu halafu vinakuja kukaa ndani.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 56001 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuslay-kama-bi-harusi-bila-ya-kufilisika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuslay-kama-bi-harusi-bila-ya-kufilisika/ […]