Ramadhani imefika na katika mwezi huu wengi huwa tunabadili aina ya mavazi, wengi tunajaribu kujifunika na kujistiri kuendana na mwezi huu. Basi kuna wengi ambao uhangaika katika swala zima la mavazi kununua mapya ili waweze ku-cope na mwezi lakini kumbe unaweza ukawa nayo ndani na unaweza kuyabadilisha kuendana na mwezi huu bila kutumia gharama nyingine.
leo tutakutajia baadhi ya mavazi ambayo unayo na unaweza kutumia mwezi huu.
- Shirt Dress
Hatudhani kama kuna mwanadada ambae hana vazi hili katika kabati lake na kama huna basi si kosa unaweza kuwa na lingine tutakalo litaja hapo chini, unacho takiwa kufanya ni kuli-style kuendana na mwezi wakati miezi mingine ulikuwa unaweza kuvaa hivhivi bila kitu ndani mwezi huu unaweza kuvaa na suruali, skirt au ukalivaa kwa juu kama kimono ukafunga na mtandio wako ukawa umejistiri hujatumia gharama na bado modest.
- Tuxedo Dress
Kama unayo na yenyewe ni msaada mkubwa kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani unaweza kuivaa kama long blazer lakini pia unaweza kuvaa kama shirt na suruali au skirt kwa ndani.
- Turtle Neck Top
Zinapendwa sana hizi na zenyewe ni msaada mkubwa katika mwezi huu, unaweza kuvaa na skirt, suruali na hata gauni yenye mikono mifupi, kizuri kuhusu turtle neck top ukiivaa unaweza ukafunga kiremba kwa maana ina kustiri kifua na shingo kwa wakati mmoja.
culottes pants
Hizi ni zile suruali pana kwa chini ni kama fupi hivi, zipo so comfortable na wengi tunazo kwenye makabati, hizi nazo zinaweza kukusaidia mwezi huu unaweza kuzivaa na long sleeve top na mtandio vyema kabisa
Tutakuwa tuna wa update mara kwa mara ya jinsi unavyo weza kustyle vitu ambavyo unavyo tayari katika mwezi huu mtukufu.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kutumia-mavazi-yako-ya-kila-siku-katika-mwezi-wa-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kutumia-mavazi-yako-ya-kila-siku-katika-mwezi-wa-ramadhani/ […]