Si wote wanao weza ku keep up na official rules na well rules are made to be broken (sheria zime wekwa ili zivunjwe), linapo kuja swala la mitindo una weza kuvaa chochote popote ni jinsi wewe unavyo weza kuki style kikaa vile unavyo taka kiende kutokana na mahala uendapo (usiwe too excited ukavaa beach wear ofisini).
Japo wengi wana sema ni unprofessional kuvaa jeans kazini lakini una weza ku pull the outfit na ukaonekana official ukiwa ume vaa jeans
Vaa jeans na shiffon blouse ya mikono mirefu, funga vifungo hadi juu.. una weza ku accessorize na cheni na ukawa good to go ofisini kama dada hapo chini
vaa blouse ya kitenge nzuri yenye muonekano wa kazini ambayo watu wataitilia mkazo yenyewe na kusahau kuhusu jeans ya suruali uliyo ivaa chini
chomekea shati lako katika suruali, vaa mkanda na beba pochi, vaa heels ziwe zina endana na kimoja kati ya mkanda, pochi au shirt. heels always zina kaa vizuri zaidi na mitoko ya jeans ofisini
ongezea blazer au sweater katika vazi lako
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…