Unaweza ukawa unajiuliza je ni sawa kuvaa rangi nyekundu kazini? kama ni sawa naivaaje? well yes unaweza kuvaa rangi nyekundu kazini lakini inategemea na eneo lako la kazi, research zinasema wanawake wakimuona mwanamke mwenzao kavaa rangi hii wanamuona kama threat, however kwa wanaume ni tofauti inakufanya upate attention yao na ata heshima.
Kama ambavyo kwa wanaume wana red power tie, na kwa wanawake pia unaweza kuvaa nguo nyekundu na ku utilize na rangi nyingine ii usiwaudhi wafanyakazi wenzio wakike, ukiwa ni mwezi February mwezi ambao wengi tunapenda kuvaa nyekundu hizi ni ideas chache za namna unaweza kuvaa mavazi, viatu, accessories nyekundu kazini.
Unaweza kuvaa skirt yenye touch’s za rangi nyekundu, nablouse nzuri ukimatch kimoja wapo na viatu, kama tulivyo sema juu utilize rangi zako vizuri nyekundu hisishout sana.
Red Blouse – blouse nyekundu ina kawaida ya ku shout ili kuifanya iwe calm vaa na dark neutral colors kama grey, nyeusi, dark blue etc
Red Blazer – koti jekundu nalo ni kama blouse nyekundu vaa na rangi ambazo ni dark ili kuifanya na yenyewe kufifia kidogo
Red Handbag – unaweza ku-make a statement kwa kubeba bag jekundu huku ukivalia na mavazi ya rangi nyingine
Red Shoes – hizi zipo vary tricky ni mara chache kuona zimevaliwa kazini lakini kama zikivaliwa vizuri kama na suit, skirt & blouse au gauni zinaweza kuinuna mtoko wako kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
well unaweza kupata idea za mitoko ya kazini ya aina tofauti kwa kubonyeza hapa na hapa
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 42919 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-ya-kuvaa-rangi-nyekundu-kazini/ […]