In case huja notice bado rangi za metallic ziko so in trend katika season hii, tumeona Fashion bloggers mbali wakitumia rangi hizi. Japo bado tuna fikiria una weza kuzzivaa kweli bongo mchana wa jua kali? mmh labda jioni hivi lakini sio kesi sana maana si lazima uvae kama vazi. Hivi ndivyo unavyo weza kwenda na trend hii bila kum’bugudhi mtu na ming’aro yako
- tumia metallic colors katika viatu, kama una taka ku add glam katika mtoko wako basi mettalic shoes ni best choice kwako iwe flat au heels chochote kile kitakufaa na kama bado hauja jua uchague kipi kati ya silver na gold kutokana na ngozi yako basi wacha tukujuze Gold (dhabahu) ni nzuri kwa wale wenye rangi za kufifia (chocolate, dark colors) na Silver kwa wale wenye light skin
- Mapambo (urembo/accessories) una weza kutumia metallic colors katika urembo kama Hereni, Cheni, pete, mkoba, mkanda etc ni njia ambayo wengi tume izoea japo a statement metallic accessory ina leta mvuto zaidi, Hutakiwi kuvaa urembo huu na rangi zinazo shout pia ni vizuri kama utavaa with dark make up
- mavazi yenye metallic colors ni vizuri ukivaa mavazi haya uka nguo zilizo bakia uka vaa neutral colors, yani kama skirt metallic basi shirt neutral ina pendeza zaidi
- Make up kama una taka kuwa minimum na trend hii basi hii ni perfect choice kwako tumia metallic colors kama eye shadow, lipstic kwa mitoko ya usiku
au hata rangi za kucha
Will You Dare Kujaribu trend Hii? Tuandikie
Facebook – Afroswaggamag
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…