Mara nyingi huwa tuna post kuhusu Fashion za wanawake (hijabista’s) na kusahau kuhusu wanaume, labda kwa sababu wanaweza kuvaa chochote ili mradi kivuke magoti, lakini vazi lao kubwa ni kanzu, Kanzu inavaliwa tu kawaida japo kuna namna zake unaweza kuivaa ukaonekana smart, fashionable na bado ukawa umekaa katika maadili ya vazi hili.
leo tunakuletea namna mbali mbali za unavyo weza kustyle vazi hili
Kuna zile ndefu na zile zinazo kuwa fupi kidogo leo tunaongelea zilizo fupi kidogo,
Fashion Blogger huyu amestyle ya kwake kama two pieces alicho ongezea ni cape pamoja na kuikunja mikono wakati kwa ndani akiwa amevalia shirt ya mikono mirefu.
Hapa ikiwa ipo layered na msuli kwa ndani, suruali yake ambayo kidogo ameiweka kuwafupi akionyesha socks na viatu vyake
Hapa Kanzu ikiwa imekua styled na jeans, ambayo aliamua kuikunja kidogo ku-make a statement na kuongezea socks ndefu.
All white
Fashion Blogger huyu yeye aliamua kuvaa two pieces za kanzu nyeusi, aki add a pop of color na sleeveless blazer (kizibao) cha damu ya mzee na scarf
ni matumaini yetu umepata kuopoa mawili matatu ya namna gani unaweza ku style kanzu yako,
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/namna-za-ku-style-kanzu/ […]