Katika mitindo kuna wale ambao hatujui tumesimama wapi, wale ambao tupo-comfortable na mionekano yetu na wale ambao hufikiria nje ya box, leo tunawaletea mwanamuziki Cardi B na Fashionista Nana Akua Addo hawa ni wale ambao wanafikiri nje ya box na wakotayari ku-take any risk linapokuja katika swala la fashion.
Mara ya kwanza tulimuona mwanamuziki Cardi b akiwa amevalia hii floral, face-covering Richard Quinn look akiwa katika Paris Fashion Show 2019,

outfit yake ili-cover kila kitu mwilini mwake, kuanzia sura mpaka unyayo but she looked good in her own way, and this is how you do fashion week.
Wakati huko Ghana Nanaa Akua Addo akaona alipe hii kutoka kwa Cardi B lakini yeye alifanya kwa aina yake, ” you know copying but not make it too obvious? yes yeye alivaa Full face-covering jumpsuit ambapo aliongezea na bandage skirt nyeus, gloves nyeusi akamalizia na black pumps na a black channel bag, sometimes you got to hide to make a statement.

As Swahili Fashion Week is on its way we can’t wait to see what our fashionistas & celebrities installed for us, #afromates nani unadhani ata-stand out?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nanaa-akua-addo-cardi-b-in-showstopping-jaw-dropping-outfits/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 95647 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nanaa-akua-addo-cardi-b-in-showstopping-jaw-dropping-outfits/ […]