Is EverybodyΒ Slimming Down Or Are They Lying To Us?, Ukiingia social media it seems like kila mtu ana pata body goals yake, from Tanzania Sweetheart Wema Sepetu, Dada wa Taifa Mange Kimambi, Ndege mnana Linah Sanga, Aunty Ezekiel na wengine wengi wameonekana kupungua na inaonekana wana inspire watu wengi katika mitandao ya kijamii na wengi wakijiuliza wamefanya nini kupata mwili huo
Si kazi rahisi kupunguza mwili kama ambavyo ilivyokuwa rahisi kuupata, celebrity wanajitahidi ku-keep up na miili yao na hii kutokana na kwamba us kama mashabiki wao we expect them to be perfect kwa mwili, mavazi na kila kitu, lakini pia hii haiwapi rights watu hawa maarufu kudanganya fans wao, kupata body perfect kuna aina mbili kufanya mazoezi ambapo wengi huwa ina washinda au kutumia madawa hii ni rahisi na wengi wanatumia lakini the worse part ni kwamba wengine hata hizo dawa hawanywi wana edit pictures na kudanganya fans zao kwamba wamepungua kutokana na kunywa dawa fulani ili kuvutia wateja kununua dawa hio.
Ukienda kwenye show yake umuone face to face mwili wake upo vilevile, kwanini unahitaji kudanya watu kwamba hii dawa ndio imenisaidia na blah blah blah, kama kweli unahitaji kuuza dawa yako au unahitaji kukonda you should atleast put some work on it na ujaribu kutuonyesha kweli dawa imefanya kazi kwa kupungua kweli in real life, save that embarrassment ya kuwa posted ya picha za kukufananisha au kutukanwa kwa kudanganya watu na jaribu kuwa mkweli, lakini pia fikiri na wale watu ambao wanakuamini na kununua hio dawa halafu hawapati matokeo ya ukweli.
https://www.instagram.com/p/BrxXD6GDL6g/
Mtu akimuamini Kim Kardashian kapata ule mwili kwa mazoezi thats her / his problem maana mwenyewe ameshakiri ni plastic surgery lakini wewe kutuaminisha ni dawa fulani huo ni uongo 100% wakati kumbe una edit pictures, like why are you doing that?
View this post on InstagramShow Time π€ KIVAZI: @bibiharusi MUA: @swallher_tz
A post shared by Linah Sanga (@officiallinah) on
we do spot the bending gate, we do spot the pending walls jamani we need to keep it real kama umnene umnene unahitaji kuuza dawa ya kupungua put some work on it na tuonyeshe matokeo ambayo hata tukikutana na wewe ni ya kweli, Lets give kudos to Wema Sepetu she did what she did hana muda wa ku-explain kafanya nini na hadanganyi watu the rest don’t posh queen us we know what you did.
Related posts
HOT TOPICS
#AfroFix | #AfroFix Tuna Fix Nini? βββββββββββββββββ #AfroFix https://t.co/SID1P6QCPM
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa⦠https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa⦠https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show β Big Brother Africa. Kwa…