Linapo kuja swala la harusi hasa kwa mtu maarufu tena aliye kwenye mitindo kila mtu anakua anataka kujua itakuaje, watavaa nini, bibi harusi itakuaje lakini je wageni waalikwa nao wamejiandaaje? weekend hii mbunifu mkubwa kutoka Nigeria Olorunyomi Makun aka YOMI Casual amefunga ndoa na mpenzi wake Grace Onuoha,
Bibi harusi alivaa magauni matatu katika harusi yake
Alivaa White Cinderella wedding dress ambayo ili naksiwa na lace mikononi na silver crystal knobs, amekuwa accessorized na dropped earrings, saa na crown
Kwenye reception alivaa hii blue Cinderella dress ambayo imeachia kifua kidogo pia ame accessorize na same accessories alizo vaa katika white dress yake
pia alivaa this pink dress that we loved so much
Brides maids walivaa one hand burgundy dress iliyo pitishwa lace nyeupe (simple yet classy)
Groom men walivaa suits za cream na tai za burgundy to match with the bride maids
Wageni waalikwa nao walipendeza mno
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nigerian-top-fashion-designer-olorunyomi-makun-wedding-is-goals/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nigerian-top-fashion-designer-olorunyomi-makun-wedding-is-goals/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 36763 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nigerian-top-fashion-designer-olorunyomi-makun-wedding-is-goals/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nigerian-top-fashion-designer-olorunyomi-makun-wedding-is-goals/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nigerian-top-fashion-designer-olorunyomi-makun-wedding-is-goals/ […]