Mwaka jana Sinema Zetu International Firm Festival zilianzishwa na theme ilikuwa mavazi ya kistaarabu, wengi walijitahidi lakini ni wachache sana ambao walitupa ile wow look, wengi wao walienda plain yaani as if ni msiba or something, mwaka huu theme ni ile ile na tumeona tuwape vidokezo vya nini unaweza kuvaa kama utaenda katika event hii.
Kistaarabu – hapa unaambiwa usivae vibaya kupitiliza mfano kuvaa vazi fupi kupitiliza au kuonyesha sehemu ambazo si vyema kuonyeshwa katika umati wa watu, lakini haimaanishi uwe plain and boring.
- Fikiria Kuhusu Urefu Wa Vazi Lako – as theme inasema mavazi yawe ya kistaarabu unatakiwa kuvaa vazi ambalo unaona urefu wake utaringana na theme, by the way ni watu wachache sana wanao vaa nguo fupi red carpet.
- Design ya vazi lako – as the theme goes ni kistaarabu usije kuvaa vazi ambalo design yake si ya kistaarabu mfano mzuri ni vazi alilovaa Faiza Ally katika red carpet ya Kilimanjaro Music Awards 2015, halikuwa la kistaarabu na sehemu nyingi ya maungo yake yalikuwa yanaonekana. Vaa something classy and stylish
- Go boldĀ – Kama red carpet nyingine ambavyo unatakiwa kuwa basi na hii unatakiwa kuwa hivyo hivyo, give us something to talk about, a tail, a bold color, a killer dress anything ambacho kita turn head we are here for it.
- Hair and Makeup – nywele zako ziwe zimetengenezwa vizuri hakikisha zinaendana na vazi lako, kwenye red carpet we need to see the face & neck, upande wa makeup pia hakikisha inaendana na outfit
- Shoes – kama outfit yako inahitaji statement shoes then go for them lakini pia hata kama haihitaji statement shoes basi vaa viatu vizuri na visafi, like don’t attend kwenye red carpet na viatu vinavumbi au stains
Well with that being said we cant wait to see how celebrities wetu wata dress siku hio.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-cha-kuvaa-katika-sinema-zetu-internationa-awards-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-cha-kuvaa-katika-sinema-zetu-internationa-awards-2019/ […]