Ni kama vile maombi ya kuwa na fashion events Tanzania yamesikika, tunasema amen to these events kwa kweli. Wengi walikuwa wanalalamika viwalo vipo ila hamna sehemu ya kuzivaa, well mmesikiwa na events ndio hizo zinajitokeza,
mtangazaji mkongwe kutoka East Africa Tv pamoja na baadhi ya makampuni wame organize hii event iliyopewa jina la Tanzania Fashion Festival ambayo inafanyika tarehe 29.9.2018 yaani jumamosi hii pale Double Tree By Hilton Masaki, Theme ya event ni “summer” itakuwa outdoor event na kutakuwa na fashion show, muziki, muziki, dansi, na appearance kutoka kwa mastaa wakubwa. Well as fashion ambassador tukaona sio mbaya tukiwaelewesha maana ya theme na nini ambacho unaweza kuvaa siku hio.
“Summer” kwa kiswahili ni majira ya joto au “Kiangazi” kipindi hiki watu wengi tunavaa less clothes yaani ni kujiachia na min skirts, pants, min dresses, vest etc, kwahio kama unaenda kwenye event hii kaa nazo hizo kichwani.
Ukiachana na Theme unacho takiwa kujua event ni ya fashion hio miziki na dansi ni viongezeo tu so you need to fashionable lakini pia u-meet hizo factor nyingine za dansi na muziki, hatukutegemei uje na nguva au Cinderella dress hapo, itakuwa dhambi ya fashion.
Well nini ambacho unaweza kuvaa?
Get stylish with your outfits, kama muse wetu hapo amevaa tee- high waist trouser kamalizia na ankle boots na beret na miwani, definitely a summer vibe with fashionable touch’s
Crop top & skirt unaweza kuvaa crop top iwe na skirt, suruali, pants anything iweke tu iwe more of event na stylish.
Kama upo vizuri katika kupangilia rangi na prints then usiziache nyuma as we all know summer is colorful.
Kama ungependa kuwa covered up unaweza vaa jumpsuit, au styling a summer dress in a most casual way possible.
Hot pants with heels
Two pieces
Shirt dress
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-cha-kuvaa-katika-tanzania-fashion-festival-summer-theme/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-cha-kuvaa-katika-tanzania-fashion-festival-summer-theme/ […]