Stara Fashion Show ni fashion show ambayo uhusika na ku-show case mavazi ya wabunifu mbalimbali ambao hubuni mavazi ya ki-islam yaani stara. Hafla hii hufanyika mara moja kwa mwaka na mara nyingi hufanyika week chache kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Na mwaka huu Stara itaonyesha mavazi siku mbili ambapo ya kwanza ni mavazi ya kike na ya pili ni ya kiume.
Ambapo kutakuwa na zaidi ya Wabunifu 20 kutoka kila pembe ya Tanzania ,kama vile ZANZIBAR , ARUSHA, MWANZA, TANGA watakuja pamoja kuonyesha Ubunifu wao katika jukwaa la Stara Fashiion Week.
Sisi kwetu tunategemea kuona vitu vipya, tunategemea kuona mitindo ambayo ni advanced, kama ambavyo tunaona wabunifu wakubwa wengi wameingia katika sekta ya kubuni muslim cloth lakini pia ma models wameanza kuruhusiwa kuvaa hijab’s katika run ways
Tunadhani kwa sasa modest fashion inashika sana Duniani, tungependa kuona vitu vya tofauti ukiachana na mabaibui na madera, tungependa kuona vitu vingine vya tofauti ambavyo tunaweza kuvaa na bado tukawa tumejistiri.
Tungependa kuona mavzazi ya aina tofauti kama coorparate, casual, date night etc mtu anawezaje kuvaa akiwa kwenye event tofauti, kama ambavyo tunajua makazini wengi tunavaa ma baibui au skirt ndefu na mashati, tungependa kuona wabunifu wakituonyesha namna gani unaweza kuvaa sehemu mbalimbali na nyakati mbalimbali.
Tukiachana na mavazi tungependa kujifunza pia aina nyingine za kufunga hijab’s, kuna mitindo tofauti tofauti ya kufunga hijab’s tungependa kuona kitu cha tofauti kwenye run way hii.
Tungependa kujifunza hada na kutokana na kwamba katika sekta ya Islamic fashion ndio kwanza inaanza kuwa noticed na watu wangependa kujua wapi unavuka mipaka na wapi uko sawa.
Kama ungependa kuhudhuria inafanyika
LINI:
5May : Mavazi ya Kike
6May : Mavazi ya kiume
Muda : Saa 1 – Saa 3 usiku
Kiingilio:
Kawaida – Elfu 20
VIP – Elfu 40 ***Matukio (EVENTS) yote yanafanyika katika ukumbi wa City Garden Restaurant, Kamata.
WOTE MNAKARIBISHWA
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-tunategemea-kuona-katika-stara-fashion-show-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-tunategemea-kuona-katika-stara-fashion-show-2018/ […]