SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Nini Ufanye Na Nini Usifanye Wakati Wa Kuchagua Gauni La Harusi
Mitindo

Nini Ufanye Na Nini Usifanye Wakati Wa Kuchagua Gauni La Harusi 

Wakati bado hatuja olewa sote huwa tuna ndoto za namna ambavyo ungependa gauni lako la harusi liwe lakini pale unapopata nafasi ya kuchagua gauni mara nyingi huwa tunapata panic attack, nitavaa nini? rangi gani? nitapendeza? vipi kuhusu kufunikwa na wageni waalikwa?  Hizi ndizo tips chache tulizo kuandalia za kufanya wakati unachagua vazi lako la harusi

  • Anza Kutafuta Gauni Lako Mapema 

Kuanza kulitafuta mapema kutakupa nafasi ya kupata options nyingi ambazo unaweza kuchagua taratibu kipi kina kufaa, ukichelewa kulitafuta utapata shida na kuchagua lolote ambalo litakuwa mbele yako ili mradi siku ipite bila hata ya kulipenda.

  • Jua location 

Unapojua sehemu ambayo harusi yako inafanyika ni rahisi kujua unavaa nini, kama inafanyika kwenye hall basi utachagua vazi linaloendana na sehemu husika kama ni ufukweni al kadhalika unajua uvae nini, hii itakusaidia kukupa urahisi wa wewe kuchagua vazi lako.

  • Jua style yako 

Linapo kuja swala la style ni wewe upo comfortable na gauni la aina gani, usinunue gauni sababu lipo kwenye trend au kwa sababu marafiki zako wamekwambia zuri, hapana tafuta ambalo wewe unaendana nalo na hata siku ya kuja kuonyesha picha zako kwa watu utakuwa huna regrets, mwisho wa siku ni siku yako na sio yao.

  • Fitting’s fitting’s

Fanya fittings mara kwa mara na hii ni muhimu kwa sababu kuna ma bibi harusi ambao wanatabia ya kunenepa na wengine kukonda kabla ya harusi kwahiyo ni vyema ukawa unaenda kujaribu vazi lako kila baada ya week kadhaa ilikujua kama linakutosha au lah, sio siku inafika nguo haiingii au ina pwaya.

Hizi ni zile ambazo hutakiwi kifanya.

  • Husiwaache watu wakuchagulie vazi lako 

Kama ambavyo tulisema juu, ni siku yako wewe ndio unatakiwa kuchagua vazi ulipendalo, unaweza kupata ushauri kwa watu mbalimbali lakini usiwafanye wao wachague vazi wanalo dhani ni sawa wakati kwako si sawa.

  • Husiji – limit 

Tafuta mavazi ya aina mbalimbali, ukianza mapema basi utapata muda wa ku-explore zaidi, kuanzia rangi si lazima wote tuvae nyeupe, design’s etc, chukua muda wako ku – explore madukani, mitandaoni ili uweze kupata kilicho bora.

  • Usinunue kwa sababu ni trend 

hata kwenye mavazi ya harusi kuna ambayo yana trend kwa wakati huo, please don’t buy sababu ni kitu ambacho kina trend muda huo usifuatishe mkumbo nunua kile ambacho unaona kinafaa na kitakuwa timeless kwako kwamba ukikiangalia hujutii nilivaa tu kwasababu ya trend bali utasema this is exactly what i wanted.

Well ni matumaini yetu tips zitakusaidia please tuambie na nyingine ambazo unadhani zinaweza ku-fit hapa

 

Related posts

3 Comments

  1. visit their website

    … [Trackback]

    […] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-na-nini-usifanye-wakati-wa-kuchagua-gauni-la-harusi/ […]

  2. Plantation Shutters

    … [Trackback]

    […] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-na-nini-usifanye-wakati-wa-kuchagua-gauni-la-harusi/ […]

  3. บาคาร่าออนไลน์

    … [Trackback]

    […] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-na-nini-usifanye-wakati-wa-kuchagua-gauni-la-harusi/ […]

Comments are closed.