Mara nyingi ime tokea tukienda kufanya manunuzi (shopping) tunarudi na vitu tusivyo vitaka na kujutia au hata kutumia fedha nyingi kuliko tulivyo tegemea. Hii inatokana na kwamba tukiwa tunaenda shopping hatupangi ni kipi tunacho kifuata huko,hizi ni dondoo chache za vipi ufanye manunuzi yako sahihi
Andika vitu unavyo vihitaji:
Hii itasaidia kujua nini una kitaka na kufuatilia mahitaji yako, kuliko kuto kufanya hivyo utachukua chochote ambacho unakiona mbele yako hata kama hakina faida kwako.
Panga bajeti yako:
Weka kiasi timilifu ambacho unachukua kwenda kufanya manunuzi na hakikisha una beba hikohiko kiasi ili kuepuka kutumia kiasi kikubwa zaidi ya ulicho nacho.
panga muda wa kufanya manunuzi yako:
weka muda fulani hadi muda fulani niwe nime kamilizha mizunguko ya manunuzi yangu, hii itasaidia kuto kupoteza muda mwingi kuangalia vitu usivyo vihitaji na kuangalia zaidi kwa unavyo vihitaji.
fanya manunuzi ukiwa peke yako:
fanya manunuzi ukiwa peke yako hili kuepuka kutamanishwa na kupewa hamasa ya kununua vitu usivyo vihitaji.
kumbuka muuzaji yupo pale kuuza
mara nyingi watu hununua vitu kwa sababu ya maneno mazuri ya muuzaji na husahau kwamba muuzaji yupo pale kwa ajili ya kuuza biashara yake na si vinginevyo ata kwambia kitu kizuri hata kama si kizuri, jaribu kufuata msimamo wako na kuangalia kama kweli hiki kitu kina kufaa.
Usinunue kwa sababu tu kipo kwenye sale
usinunue kitu kwa sababu kinauzwa bei rahisi kwa wakati huo, nunua kwa sababu una kihitaji na utatumia kwa muda mrefu.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-ukienda-kwenye-manunuzi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-ukienda-kwenye-manunuzi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-ukienda-kwenye-manunuzi/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 43994 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-ufanye-ukienda-kwenye-manunuzi/ […]