Nyamachoma Festival ni moja kati ya sherehe zilizojizolea umaarufu mkubwa jijini Dar es salaam. Sherehe hizi uhudhuriwa na vijana wengi, ambao wanakwenda kula nyama na kufurahi pamoja na wenzao. Ikiwa imebaki siku moja tu Kufikia Sherehe hizo, ambapo kesho zinatarajiwa kufanyika, najua wengi wetu hususani wadada tunajiuliza nini cha kuvaa, ukizingatia na mazingira ya sherehe zenyewe. Leo tumekuletea dondoo za nini uvae na nini usive kukutoa katika kigugumizi hiko.
Dondoo nini usivae
Usivae viatu virefu
Vaa urembo wa kawaida
Usipake marashi ya kunikia sana
Usipake vipodozi vingi.
Vaa miwani
Usivae t-shirt zenye ujumbe Mbaya
Dondoo nini uvae
Vaa nguo zitakazo kufanya uwe huru kutembea
Vaa viatu vyenye kisigino kifupi
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nini-uvae-kesho-nyamachoma-festival/ […]