Msanii wa filamu nchini Tanzania, Salma Jabu ‘Nisha’, amesema kuwa licha ya kuwa vizuri katika tasnia ya filamu na uchekeshaji anampango wa kufungua kampuni yake ya mavazi ambayo itakuwa inawavalishsa mastaa mbalimbali. Nisha kwa sasa ana milikini online business shop ambayo inahusiana na mavazi hasa ya kina mama
Msanii huyo amedai kuwa ili kudhihirisha kuwa yupo makini na kazi yake ameanza rasmi kumvalisha model Hamisa Mobeto, ili kuonesha uwezo wake katika fani hiyo.
Amedai kuwa mitindo ni kitu ambacho alikuwa akikipenda tangu akiwa mdogo yaani kabla hata hajafirikia kuwa msanii na ndio maana ameamua kuuthihirishia ulimwengu kuwa kazi hiyo pia anaweza kuimudu vema.
Amesema kuwa ameanza kumvalisha Hamisa Mobeto, lakini lengo lake ni kuja kuwa na kampuni inayohusu ubunifu hasa vitu vya asili ili kuweza kujitangaza na kuitangaza nchi ya Tanzania.
Ameongeza kuwa ameamua kujikita kwenye mitindo, nguo za kike, nywele pamoja na vitu mbalimbali vya urembo.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nisha-na-mpango-wa-kufungua-kampuni-ya-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nisha-na-mpango-wa-kufungua-kampuni-ya-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nisha-na-mpango-wa-kufungua-kampuni-ya-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nisha-na-mpango-wa-kufungua-kampuni-ya-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nisha-na-mpango-wa-kufungua-kampuni-ya-mavazi/ […]