Kuna kipindi kila ukiliangalia kabati lako una hisi hii nilisha vaa au kwanini kila siku naonekana yule yule hubadiliki, kuna sababu za wewe kuwa hivyo ina wezekana upo attached sana na baadhi ya rangi au kuna nguo zina kufanya ujihisi upo comfortable labda kwa sababu ya rangi au ndio unazo zipenda lakini hii inakufanya uwe stucked sehemu moja yaani hata ndugu zako wanajua kama hujavaa na jeans basi utakuja na kigauni hatukatai mtu kuwa na signature style lakini una takiwa kubadilika from time to time una weza kuwa signature look yako lakini ukaongezea baadhi ya vitu kuondohsa dhana ya kuonekana yule yule kila siku.
Kabati Lako Limejaa nguo za rangi aina fulani,
Kuna watu ambao wana mapenzi na baadhi ya rangi labda brown, nyeupe,nyeusi, blue etc basi zile nguo zitajaa kwenye kabati mpaka mtu ana sahau rangi nyingine, ILI KUBADILISHA HILI TATIZO
unatakiwa ku balance mapenzi yako na cheza na rangi toka nje ya comfort zone yako, una weza uka chagua nguo chache ambazo zita bring life katika mitoko yako
Hauna nguo za prints, Kuvaa plain plain clothes can be fun kwa kweli maana una weza kuvaa mara nyingi uwezavyo ila pia ina weza kuwa boring at time kwa kujua ilo unacho takiwa kufanya ni kuongeza bold prints katika kabati lako,
shirt za maua maua, magauni, skirt za mistari au maua zina weza kubadilisha muonekano wako kutoka F to A
Viatu, Kuna viatu ambavyo tuna tend kuwa comfortble navyo basi utakuta hio hio pear ina valiwa kila mahali, kazini, casual, mitoko ya dinner yaani kila pahali mpaka watu wana kuzoea (kama Ally Rehmtullah )
nunua viatu na invest in good statement shoes hii itakusaidia sana kubadilisha au ku spice up mtoko wako kila unapo ona umevaa boring cloth add a a statement shoe
Una accessory zile zile kwa miaka yote, Kuna wale watu ambao hawapo kabisa into accessories (sisi ni wa moja wapo) lakini accessory zina saidia sana kuinua muonekano zina weza kubadilisha a basic outfit to baddie real quick, iwe statement hereni, mkufu, saa, bangili etc just accessorize
Fanyia marekebisho mavazi yako, a pair of plain jeans or t shirt is boring fanya DYI’s distress jeans yako ongezea vitu viwli vitatu katika t shirt yako kama ni manen, maua etc
ni mategemeo yetu ume jifunza kitu until next time tchao
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/njia-7-za-kukutoa-katika-mitoko-ya-aina-moja/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 34477 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/njia-7-za-kukutoa-katika-mitoko-ya-aina-moja/ […]