“Nobody touches this body” lilikuwa jibu la Martin Kadinda, alipoulizwa na mtanganzaji wa Wasafi Tv Liyah kwenye Red carpet ya arobaini ya King Salah. Liyah alimuuliza Martin kuhusu muonekano wake wa siku ile ulibuniwa na kupangiliwa na nani?
Hatutaki kuzungumzia kuhusu muonekano wake, tumepokea maoni mengi kuhusu mbunifu huyo na vazi lake. Asilimia kubwa ya watu wameoneshwa kutoridhidhwa na vazi lake ambalo alijigamba kulibuni mwenyewe.
Tudhani Martin tayari amejitwalia heshima kubwa katika tasnia ya ubunifu wa mavazi. Lakini kusema kwamba haruhusu mtu mwingine kumsaidia katika mavazi ni uzwazwa. Hatuna shaka na uwezo wake, lakini ni vema akatoa nafasi kwa watu wengine wamsaidie nyakati nyingine, na sio tu katika kubuni vazi lakini pia ni vema kushirikisha Stylist. Kwa muonekano wake wa juzi ametusaidia kuuthibitisha msemo wa kuwa MGANGA HAJIGANGI.
Hivi alivyovaa Martin katika arobaini ya King Salah. Je, amejitendea haki au anahitaji msaada?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nobody-touches-this-body-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nobody-touches-this-body-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nobody-touches-this-body-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nobody-touches-this-body-martin-kadinda/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/nobody-touches-this-body-martin-kadinda/ […]