Crop tops are making their way back, ikiwa watu wengi kwasasa wanafanya mazoezi na kuwa na flat tummy’s tumeona wanapenda kuonyesha matumbo yao kwa kuvaa na crop tops. Tumewaona watu maarufu kama Noel Ndale, Ally Rehmtullah, Lady Jay Dee, Sishkiki na Aunty Ezekiel wakiwa wamevalia vazi hilo.


Tofauti na wengine Noel alionekana kupata backlash wengi walionekana kusema vazi hili ni la kike lakini wamesahau kwasasa Dunia haioni gender na badala yake unaweza kuwa vile unavyo taka na upendavyo ikiwa inasemakana mavazi hayakufanyi kuwa mwanamke au mwanaume.

Lakini pia Noel sio mwanaume wakwanza kuvaa crop top miaka ya 80-90 wanaume wengi hasa waigizaji walionekana kuvalia vazi hili akiwepo muigiza mkubwa Will Smith, lakini pia miaka michache nyuma tulimuona mwanamziki Young Killer Msodoki na Burna Boy wakiwa wamevalia vazi hili la crop top.


Na upande mwingine mbunifu Ally Rehmtullah nae alionekana akiwa amevalia vazi hilo,

lets say crop top zinarudi kwa kasi na hazina size wala jinsia, if you like it wear it.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/noel-ndale-andamwa-kwa-kuvaa-kivazi-aina-ya-crop-top/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/noel-ndale-andamwa-kwa-kuvaa-kivazi-aina-ya-crop-top/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 24373 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/noel-ndale-andamwa-kwa-kuvaa-kivazi-aina-ya-crop-top/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/noel-ndale-andamwa-kwa-kuvaa-kivazi-aina-ya-crop-top/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 77112 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/noel-ndale-andamwa-kwa-kuvaa-kivazi-aina-ya-crop-top/ […]