Unadhani umeyaona yote? basi tukwambie tu Dunia bado haijamalizana na wewe mpaka pale yenyewe itakapo malizana nawe, tumezoea kuona hizi hereni kwa wasanii maarufu wakike kama Zuchu, Jennifer Lopez, Nicki Minaj na wengine wengi, hereni hizi ni za duara kubwa na katikati huwa zinaandikwa chochote utakachopenda ziandikwe kama jila lako,A.K.A yako, jina la mwanao, mpenzio etc.
Well tumemuona mwanamuziki Nuh Mziwanda akiwa amevalia hereni hizi na katikati zikiwa zimeandikwa Lola Mziwanda, .

Lola ni mpenzi wa Nuh kwasasa inawezekana alitengeneza hereni hizi kuzivaa mwenyewe lakini Nuh akavutiwa nazo na yeye kuzivaa kwenye photoshoot yake akiwa anakaribia kuzindua Ep yake, Nuh hakuishia hapo alivalia nose ring pia.
Tuambie Je umependa muonekano huu mpya wa Nuh?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nuh-mziwanda-serving-in-customized-hoop-earrings/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 36370 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nuh-mziwanda-serving-in-customized-hoop-earrings/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 48940 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/nuh-mziwanda-serving-in-customized-hoop-earrings/ […]