Wakati wa kuchagua mavazi ya ofisini kwa wanaume huwa ni rahisi, kwa sababu wanachi jua wao ni kwamba hutakiwi kuvaa kaptura ofisini kichwani mwao huwa wanawaza proper office shoes,suruali shirt za ofisini na jinsi ya ku-accessorize lakini kumbe kuna dhambi mbalimbali ndogo ndogo wanazo zisahau na zipo very annoying hasa pale unapo onekana umefanya kila kitu sawa na kusahau kitu kidogo mno
Kuvaa Mashati Makubwa
Sharti la kwanza katika mitindo ni kuvaa mavazi yanayo kutosha, over size clothes zimeshapitwa na wakati unless you have Rihanna’s blood ndio unaweza kuvaa oversize na ukaonekana umependeza, Tumesema mavazi yanayo kutosha, shati lako au vazi lako halitakiwi kuwa kubwa sana au kukubana sana. Wengi wanafanya mazoezi siku hizi wanapenda kuonyesha miili yao basi wanavaa mashati ya kuwabana well its annoying pia hatupo katika mashindano ya Mr. Tanzania tupo kazini, vaa well fitted cloth.
Kuvaa Viatu Vya Pembe Nne
Tulisha ongelea kuhusu viatu ambavyo wanaume wanavivaa na vimesha pitwa na wakati “four angle shoes” zilikuwepo pia, these shoe’s sio tu zipo old fashioned lakini pia hazipendezi hata ukizivaa corporate zina haribu tu muonekano wako, zili trend miaka ya 90 na tunaomba zibaki huko huko please don’t ruin your corporate appearance kwa kuvaa viatu hivi.
Kuvaa Socks Nyeupe
Socks nyeupe zilikua zinapendeza kuvaa secondary na shule za msingi lakini kazini nope don’t zinaonekana too childish jaribu kutafuta socks za rangi nyingine hasa colorful ones, socks ni moja ya accessory inayo dharaulika lakini pale inapo valiwa vizuri basi hufanya muonekano wako upop effortlessly.
Kubeba Bag Pack Wakati Umevaa Corporate
Haijalishi umebeba laptop au vitu vyako muhimu katika bag pack lakini kulibeba wakati umevaa mavazi ya ofisi haileti picha nzuri kabisa, tafuta briefcase bags ilimuonekano wako uonekane more proper & polished.
Over stuffed Wallet
Wanaume huwa hawajui nini waweke kwenye wallet wanaweka kila kitu humo ambacho wanaona kina weza kuingia, Wallet inapaswa kuwa na vitu vya maana kama card za bank, business cards, pesa na vitambulisho basi. Efd receipt za mafuta na vingine ni vyema kuvitafutia zip moja ndogo katika bag lako la ofisini ukaviweka, kubeba over stuffed wallet ina haribu muonekano mzima wa suruali yako unaonekana umetuna tuna na hii ni moja ya dhambi ambayo hutakiwi kuifanya.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/office-style-sins-you-should-never-commit/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 85321 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/office-style-sins-you-should-never-commit/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/office-style-sins-you-should-never-commit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/office-style-sins-you-should-never-commit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/office-style-sins-you-should-never-commit/ […]