Calisah ni moja kati ya wanamitindo wakubwa kabisa kutoka Tanzania, Week iliyopita Calisah aliweza kushinda taji la Mr. Africa International huko Nchini Nigeria kulikofanyika shindano hilo, ukiachana na kuwa mwanamitindo wa kwanza kupata taji hili Nchini Tanzania lakini pia ni mwanamitindo wa kwanza kuchukua taji hili Nchi za Africa Mashariki.
Tumepata kufanya nae mahojiano unaweza kusoma hapo chini
AfroSwagga – Ulijisikiaje Kuitwa Kama Mr. Africa 2018 baada ya mwaka jana kushindwa kuhudhuria katika shindano hili?
Calisah -najiskia furaha kukamilisha Moja ya ndoto Kubwa nilizokua nazo katika maisha, kutohudhuria siku zilizopita ni kutokana ugumu fulani fulani ambao ulikua unanifanya nishindwe, Ila naamini labda haikua wakati sahihi wa mungu kutaka Mimi niende.
AfroSwagga – Ulifikiri kwamba utashinda hili shindano?Calisah – Kabla sijashiriki nilijua kama nikifanya bidii naweza kushinda, Ila nikipofika Na nikaona washiriki wa nchi tofauti nikaingia ubaridi baada ya kuona kuna vitu wamenizidi, Ila sikua namuonesha Mtu yoyote kama Nina hofu,
AfroSwagga – Unadhani ni kitu gani hasa ulicho kifanya mpaka ukawashinda wengine?Calisah – nilihakikisha naangalia weakens Za washiriki wengine Na kuzirekebisha kwangu, Pia kujiamini, kutoonyesha unyonge, wala kutomuogopa mshiriki mwenzako, kujibu maswali vizuri, kua Na confidence kwenye kila kitu Na wakati wote, kusali Na kujua kupangilia mavazi,AfroSwagga – Mr. Africa ni platform kubwa sana, kama umeshinda una plan gani ya kusaidia models wengine wa kiume Kutoka Tanzania?Calisah – plan Ni nyingi sana ukizingatia Mr Africa anatazamwa Na Africa nzima, kuna mikataba mingi nimesaini Na watu wataona jinsi nitaanza kufanya kz Za kijamii na kusaidia vijana nchini koteAfroSwagga – Baada ya Mr. Africa tutegemee nini Kutoka kwa Calisah?Calisah – no dissappointment
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-model-calisah-after-winning-mr-africa-international/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 24977 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-model-calisah-after-winning-mr-africa-international/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-model-calisah-after-winning-mr-africa-international/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 94739 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-model-calisah-after-winning-mr-africa-international/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-model-calisah-after-winning-mr-africa-international/ […]