SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

One On One With Nancy Own Look Clothing Line Owner
Mitindo

One On One With Nancy Own Look Clothing Line Owner 

Nancy ni binti wa miaka 25 ambae ameanza ku-fulfill ndoto yake ya kuwa na clothing line yake, Nancy ni mmiliki wa clothing line iitwayo own look Tumekutana na Nancy instagram ambapo tulitoa tangazo la kuinua watu wenye bidhaa zao ambao bado wachanga na wangependa kuwa featured katika gazeti letu, ametutafuta na tukaona kazi yake imetuvutia tumefanya nae mahojiano ambapo ametupa majibu ya maswali yetu 10 tuliyo muandalia,
Afroswagga – Tuambie kuhusu wewe.
Nancy – My name is Nancy,I’m 25 years old and a Tanzanian…am also a designer and a stylist 
Afroswagga –  Own Look Ilianzaje mpaka kufikia ilipo fikia?
Nancy – I have been interested with fashion for longtime and sometimes when i have nothing to wear I just have to make sure that when i get out of the house I should look peculiar,After I started styling some friends and family it became my way of life and the word Ownlook is unique because it describes oneself (your own desire) and that’s how Ownlook came to life
Afroswagga – nini kime kuinspire kufanya biashara hii? 
Nancy – it’s something that i like and enjoy doing,it’s my way of life and since it’s something that i do all day then I figured i will start as a business to employ myself 
Afroswagga – katika chit chat zetu umetuambia una clothing line (ina maanisha wewe ni mbunifu) lakini pia ni stylist una manage vipi kufanya vyote viwili? as in unapataje muda wa kukaa kubuni na kustyle wateja wako
Nancy – Styling somebody is not as designing *Styling is you do with what they have it’s a matter of making good combination to make them look good but Designing is time consuming because you need to come with something that is different however being self employed helps me to manage my time in doing both.It helps to have people who people who have your back.
Afroswagga –  Je elimu uliyo ipata shuleni imekusaidia vipi katika kazi ambayo unaifanya leo?
Nancy – My focus was business in IT and I also studied Procurement,They help me to manage Ownlook on the business side of things for instance buying materials balancing my expenses Visa-a-vis profit.
Afroswagga – Kwa hapa kwetu Tanzania watu wanapenda sana vitu vya nje wanasema vina quality kuliko vya hapa je unafanya nini ilikutoa bidhaa nzuri ili watu waweze kuzikubali?
Nancy- when I design something before goes to the market like what am doing right now my product has to be voted and tasted to determine strength and weakness and find better material for the product which does not only tell quantity but speaks to classy in a very simple manner.
Afroswagga – nini kina tofautisha own look na clothing line nyingine?
Nancy – My clothing  line covers lots of things my designs are so unique and very practical as a stylist i cater to people needs.
Afroswagga – tumesikia una launch clothing yako hivi karibuni tutegemee nini?
Nancy – My clothing line serves all ages and people different styles…The beuty of it is that you can tell me what you want and together we can make it happen.
afroswagga – ni vipi  tunaweza kupata bidhaa zako?
Nancy – For now i have an office at home it’s in Mikocheni but before the launch I will have outlets which will be announced at the Launch.
Afroswagga – unawashauri nini wanao taka/penda kufanya ambacho unafanya?
Nancy – Even a tarmac road was once a rough road which I’m still in heading to the tarmac road,Knowing that one day I will be there so never give up and Keep believing in yourself that you gonna make it one day!!

Related posts

1 Comment

  1. big ass big tit bbw blonde cam

    … [Trackback]

    […] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/one-on-one-with-nancy-own-look-clothing-line-owner/ […]

Leave a Reply