Wengi wetu hudhani kuonekana stylish ni kununua au kuvaa vitu vya gharama kubwa mara nyingi tumesha wahi kukutana na msemo huu “ana hela kwanini asipendeze” au “siwezi kupendeza vile nina hela gani mpaka nipendeze”? tuna weza kusema your so wrong by saying that. Kupendeza au kuwa stylish si kutumia gharama bali ni ku-style icho kidogo ulicho nacho kwa namna nyingi tofauti tofauti bila ya kuchosha.
- Accessorise – kitu cha kwanza ambacho kina weza kuleta muonekano mpya katika vazi lako ni urembo mfano: hereni, saa, bangili au mkufu. Nunua hivi vitu vya design tofauti tofauti na kila unapo vaa vazi lako ambalo unaona liko plain add kitu kidogo cha kuchangamsha muonekano huo kama saa au mkufu, uta shangaa jinsi a small thing can make a big different
- Uchaguzi wa rangi – wengi wetu ambao tuna sema hatuna hela tuna nunua mavazi ya mitumba (2nd hand) lakini si watu wa kuchagua rangi. mara nyingi tuna enda katika masoko ya mitumba bila ya kuwa na plan chochote tutakacho kiona kime tuvutia mbele ya macho yetu tuna nunua tu, hii ina tupa tabu sana katika namna ya kuvaa na mavazi mengine ndio maana huwa tuna vaa tu ali mradi tume vaa, kwa ushauri wetu nguo nzuri kununua ni neutral color kama nude, grey, nyeupe, nyeusi nakadhalika ina kuwa rahisi kuvaa na rangi nyingine kama floral shirts, printed t-shirt au hata neutral on neutral ina pendeza etc hivyo kabati lako liwe na rangi za design hii nyingi kuliko rangi za kuwaka au zenye maua maua ili uwe na uwezo wa kubadilisha na ku style mara nyingi uwezavyo
una weza kuona hapo chini alivyo style t-shirt moja nyeupe mara nyingi bila ku bore.
- Invest katika mavazi unayo weza kuvaa mara mbili mbili – usinunue kitu kwa sababu tu kipo kwenye trendy, vipi kama trend ikiisha una weza kukivaa tena? kwetu tuna kushauri ununue nguo ambazo zina weza kuvalika hata kama haipo kwenye trendy wakati huo kuna zile trendy zisizo isha kama jeans inayo kutosha, flats shoes za ballet, maxi skirts nakadhalika hii itakusaidia kuto kuwa na uhitaji wa kununua nguo mara nyingi nyingi bila sababu.
Ni Matumaini yetu ume jifunza kitu wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…