Week imkuwa nzuri wasanii mbalimbali wametoa nyimbo, yes tunasema week imekuwa nzuri kwa maana na huku kukaa ndani halafu playlist ileile unaweza kuhisi uchizi.
Wasanii kutoka Kenya Tanasha Donna ametoa wimbo mpya wakati na Otile Brown yeye ametoa album wakati kwetu Tanzania Juma Jux Ft Maua Sama nao wamekuja na ngoma mpya. Kama kawaida sisi tupo hapa kuangalia cover zao ni nini wamevaa na je jicho letu limependa tulicho kiona au Lah
Tuanze na cover ya Otile
Cover yake amevaa coat ya suit, shirt nyeupe, underwear nyekundu, loafers akiwa amemalizia na accessories. Yes tunaweza kusema hii ni creativity tumeona cover nyingi wasanii wakiwa wamevaa suit, yeye amekuja kipekee. Lakini tungependa kujua kwanini chupi nyekundu angeweza kuvaa nyeupe na ikawa smart hii nyekundu sio tu inavuta watu kuangalia pale lakini pia ni destruction kwenye outfit.

Tukija kwa Juma Jux
Juma nae ametoa wimbo mpya aliomshirikisha mwanadada Maua Sama, Juma na yeye ameamua kuwa na boxer tupu ya brand yake ya African boy. Kwetu tumeona ni namna nzuri ya ku-advertise brand yake. simplicity & neat

Mwanadada Tanasha Donna
Tanasha yeye alikuwa kwenye cover ya mwimbo wake mpya ambapo alitumia makopo ya soda kama rollers, hii tulishawahi kuiona kwa watu kama Beyonce, Lady Gaga, Ashanti wakati pia mwanadada Vanessa Mdee nae alishawahi kutumia hii style kwenye cover ya wimbo wake.

Well Afromates tuambie cover ipi imekuvutia zaidi na ipi ambayo umeona hapana.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 86722 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/otile-brown-tanasha-donna-juma-jux-new-music-cover-review/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/otile-brown-tanasha-donna-juma-jux-new-music-cover-review/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 63360 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/otile-brown-tanasha-donna-juma-jux-new-music-cover-review/ […]