Imekuwa muda sasa tukipita katika mitandao ya kijamii tunakutana na msemo wa “wanaume wa dar” ambao wengi huwa wanasema wanaume wa dar wamezidi kujipenda na wengine wakiambiwa wewe ni mwanaume wa dar wana kasirika, oh well oh well sisi hatuoni tatizo kwa mwanaume kujipenda hapa tunaongelea kama ameamua kujipenda mwili wake as in
- Kufanya Diet / Kujenga mwili wake
Wengi utasikia wanasema mwanaume wa dar chips yai hamalizi kwamba wanakula portion ndogo ya vyakula, well ni kitu kizuri kujua mwili wako na kuupeleka vile ambavyo unaona ni sahihi kabisa kwako, kama unapenda mwili wako ujengeke bila kubeba vyuma kula vyakula ambavyo vitakusaidia kufanya hivyo. Follow your diet of course girls wenyewe wanapenda miili fulani amazing, its real is okay kujipenda.
- Kutumia mafuta ya nywele, ndevu na mwili
hatujui hii theory ya wanaume kupauka ndio uwanamume imetoka wapi, its okay kupaka mafuta ya nywele, ni sawa kupaka mafuta ya ndevu ni sawa kupaka mafuta mwilini ni sawa ngozi yako kuwa laini, ni sawa ngozi yako kuwa hydrated lakini pia ngozi kavu haivutii hata kidogo sio tu kwa mwanamke hata wanaume pia.
- Ni sawa kupangilia mavazi yako
Tumesikia mara nyingi mwanaume akijipenda wanaambiwa huyu nae ana vaa ana match rangi au anapangilia mno kama mwanamke??????? Well everybody deserves to look good, actual wanawake wanapenda wanaume wanao chukua muda wao kufikiria kuhusu mavazi, that means kama wewe unajipenda definitely na yeye utakuwa unaweza kumkosoa akikosea kwenye mavazi, pia who doesn’t like when his man/woman look good?
- Kunukia vizuri
Kama kunamtu alisha wahi kukwambia mwanaume ni kunuka jasho cancel him or her in your life hakutakii mema, just smell good sion tu kwaajili ya wanawake lakini kwako pia & the whole society.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-dear-men-its-okay-to-take-care-of-yourselves/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-dear-men-its-okay-to-take-care-of-yourselves/ […]