Inapofika jumatatu huwa tunafurahi na tupo tayari kukupa updates za nani alipendeza na nani alizogoa week hio, well we have to say last week had looks kila mtu alijitahidi kulingana na uwezo wake kupendeza katika nafasi yake lakini hakukosekanagi wale ambao nao hawajielewi let’s see who made it to our list this week
Mwanamuziki Shetta took the gram with this blue suit number kutoka kwa mbunifu @clemoodesigner , tumependa jinsi ambavyo suit imekuwa styled no shirt amefunga buttons lakini pia aliongezea layered necklace so dope akamalizia kwa kuvaa miwani, saa na bracelet chini alivaa white kicks ( its a trend now )
Fashionista Lavidoz alimalizia week yake na shirt dress nyeupe na mcm shoe’s and bag pack, okay Lavidoz can you start styling people already? Madam please these Tanzanian artist needs you.
Jacqueline Mengi yeye alimaliza muonekano wake in neutral colors ambapo alivaa off white shorts, white shirt akimalizia muonekano wake na channel bag na Dior sandals amemalizia with accessories kama long earrings saa na pete ( that’s how you update a casual outfit)
Rapper John Makini amemalizia week yake na all white outfit, amemalizia muonekano wake na accessories ndogo ndogo saa na bracelets na miwani seems like white ilitamba sana na miwani. He looked fresh & clean
Faiza Ally yeye alivaa denim trouser ya blue, white linen shirt, blue sneakers na black sunglasses lets say she killed this look
ambae kidogo tuliona amezingua ni Video Vixen Irene she went to be the bad version of chun li on this one, sometimes less is more
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 52827 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-favorite-and-worst-outfit-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-favorite-and-worst-outfit-of-the-week/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 11517 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-favorite-and-worst-outfit-of-the-week/ […]