Tumeanza week nyingine tena ikiwa tunamalizia mwezi wa 7, well mwaka unaishia hivyo na inaonekana tunaumaliza vizuri, week hii imeisha vizuri almost kila mtu alipendeza kulingana na uwezo wake. Hizi ndizo tulizoziona tukazipenda week hii hamna alie haribu they actual surprised us
Makeup Artist Monica a.k.a monibeatsface alikuwa ana sheherekea birthday yake na moja ya vazi tuliloliona likatuvutia ni hii red dress, Gauni lime mkaa vizuri, design ya gauni ni nzuri, well fitted and sexy a true definition of lady in red.
Hamisa Mobetto looked like a snack in this mobetto styles yellow dress, ameendelea kuweka hii pony tail hair style ambayo inamuonyesha uso wake vyema kabisa na nude cage heels. Snatched
Millen Magese ameshehherekea birthday ya mwanae katimiza mwaka mmoja in all white party, we can’t wait to see the full picture’s, her son is so handsome
Mwamvita Makamba alipendeza na hii tutu skirt yake we love the color combination we love that statement belt & earrings, kipilipili on point
Flaviana Matata yeye alimaliza week yake na stripes two pieces suit, amemalizia muonekano wake na white sneakers, miwani na mini handbag.
Hivi ni kati ya zile nyingi ambazo tumezichagua week hii, tuambie wewe nani amekuvutia zaidi?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-slayed-or-played-report-of-this-week/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-slayed-or-played-report-of-this-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-slayed-or-played-report-of-this-week/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-slayed-or-played-report-of-this-week/ […]