SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Our Two Cents To Miss Tanzania Committee
Mitindo

Our Two Cents To Miss Tanzania Committee 

Miss Tanzania imefanyika Ijumaa ambapo warembo 20 walichuana vikali na hatimaye tukampata mmoja ambae ataenda kutuwakilisha Miss World itakayo fanyika Tarehe 14 December  2019 Jijini London, Uingereza.

Miss Tanzania 2019 Ni Sylvia Sebastian Bebwa ambae anatoka mkoani Mwanza, ana umri wa miaka 19 na ni mwanafunzi ambae anasomea computer maintenance and repair

Wengi wameonekana kutokukubaliana na ushindi wake na tunaweza kusema tunaelewa frustration ya wengi, Sylvia alipatwa na kitete katika kujibu swali kwenye shindano, hapa inabidi apewe somo kubwa sana kabla hajaenda Miss World anatakiwa apewe somo la public speaking, na namna ya kujibu swali.

Sylvia alichagua kujibu swali kwa lugha ya kiingereza baada ya hapo alishindwa kulielewa swali vizuri kama kunauwezekano wa kumpa mkalimani ni vyema zaidi akaenda nae au Miss World wawe notified mapema kwamba Sylvia anaweza lugha ya kiswahili zaidi kama kunanamna ya ku-solve hili swala ianze kufanyiwa process.

Aanze kuandaliwa mapema kuanzia national costume, makeup & hair team, viatu na mavazi atakayovaa Miss World yaandaliwe mapema kama kuna uwezekano wa kutafuta watu wampe sponsorship ya hivi vitu basi process ifanyike mapema.

Tusisubiri mpaka tarehe za mwishoni ndio aanze kuwa coached inabidi tuanze kuspot na kurekebisha matatizo madogo madogo aliyokuwa nayo mapema na kum-shape zaidi ambapo anapaweza azidi kuwa mkali zaidi.

Otherwise congratulations to Sylvia lakini pia Miss Tanzania Committee mwaka huu onesho lilikuwa zuri maandalizi yalikuwa vyema.

Rai yetu kwa umma wa watanzania na watu wote wanaofatilia tasnia ya mitindo, ubunifu na urembo ni kwamba, mashindano ya miss Tanzania kwa mwaka huu yamekwisha hivyo wote kwa pamoja tuunganishe nguvu na kumsupport Sylivia ili apate kutuwakilisha vema kwenye jukwaa la Miss World. Nadhani badala ya kumshambulia na kuiharibu taswira yake kwenye mitandao ya kijamii tunaweza kabisa kuijenga na kuiimarisha kupitia majukwaa hayo hayo. Ushindi wa Sylvia Miss World ni watazania wote, hivyo tufanye kwa ajili ya Tanzania.

Related posts

4 Comments

  1. สล็อตเว็บตรงpg

    … [Trackback]

    […] Here you will find 31470 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-two-cents-to-miss-tanzania-committee/ […]

  2. แทงบอล ufabet

    … [Trackback]

    […] Here you will find 30823 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-two-cents-to-miss-tanzania-committee/ […]

  3. mdma kristalle von crystal unterscheiden,

    … [Trackback]

    […] There you can find 27317 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-two-cents-to-miss-tanzania-committee/ […]

  4. Where to Buy Magic Mushroom Spores Oregon

    … [Trackback]

    […] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/our-two-cents-to-miss-tanzania-committee/ […]

Comments are closed.