Well Instgaram made it is kwa watu ku-communicate na watu wawapendao, hasa kwa wale celebrity na wafuasi wao. Wameanzisha kitu kipya ambacho unaweza kuuliza swali na kujibiwa papo hapo, Miss Africa Tanzania ‘16 na alieenda kutuwakilisha katika Miss World Tanzania ‘17 Julitha Kabete yeye aliamua kutokupoteza muda na kuwapa nafasi wafuasi wake kumuuliza maswali,
Moja kati ya swali ambalo tuliliona ni kuhusu yeye kuendelea kushiriki katika beauty pageants na alijibu kwamba amesha achana na beauty pageants ana plans nyingine kabisa.
Alipo ulizwa kuhusu ngozi yake alijibu kwamba ngozi yake si nzuri kama ambavyo inaonekana katika picha ( which is true picha zina rembesha sana kwa kila mtu) lakini pia ana tumia vipodozi vya asili kutunza ngozi yake
Kuhusu yeye kuamua kufanya modeling alisema sikuzote amekuwa akipenda kuwa mbele ya camera na watu wamekuwa yeye ni photogenic, ameamua kuwa model kwa muda mfupi wakati akiendelea na masomo, so may be akimaliza hatofanya kabisa? we wonder
Na hapa Julitha akitoa maelezo kuhusu skin care routine yake, kama unapenda ngozi yake ilivyo unaweza kusoma na kutumia anavyo tumia lakini kumbuka kwamba tuna ngozi tofauti inawezekana anacho tumia yeye wewe kisikupende kabisa.
Well ni matumaini yetu mmejua kidogo kuhusu Julitha na pale ambapo ulikuwa unataka kumuuliza kwa muda mrefu lakini ukashindwa amepajibu.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-julitha-kabete/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-julitha-kabete/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-julitha-kabete/ […]