Tarehe 9 mwezi wa tatu kuna event ambayo inaitwa Tanzanite Womens Forum And Lunch, tumepata nafasi ya kufanya interview na mbunifu Khadija Mwanamboka ambae yeye ni moja kati ya waanzilishi wa event hii ametuelezea zaidi kuhusu event hii
Afroswagga: Unaweza kutupa hint ya event inahusu nini?
Khadija Mwanamboka: Event ina forum wataongelea finance savings, self branding na femenism, lakini pia kutakuwa na Kuna fashion show
Afroswagga: Designers wangapi wata show case collection zao
Khadija Mwanamboka: Ten designers na surprise
Afroswagga: Tunaona legends kama wewe na Mustafa mta showcase collection zenu baada ya muda mrefu Is This a come back au just for The event?
Khadija Mwanamboka: “Girl I never went anywhere I will die a DESIGNER,Was just not showcasing for like seven years, but I do fashion every day got pendeza my kids collection,Thats benefits deaf blind children.
Afroswagga: Ukiachana na fashion show what else watu watapata?
Khadija Mwanamboka: kutakuwa na music kutoka kwa new artist, Shopping bazaar na Red carpet
Well with that being said na kuelewa kuhusu event hii tumeona si mbaya tukikupa tips za nini unaweza kuvaa endapo utahudhuria katika event hii, kwanza unatakiwa kujua event iko more of semi formal event, ukishajua hilo paint kichwani watu ambao huwa wanadress classy na elegant utawapata watu kama Jacqueline Mengi, Faraja Nyarandu, Jokate Mwegelo, Lavidoz na wengine wengi, kupitia hawa unaweza kupata outfit za kuvaa siku hio.
- Pants/Blazer
Well tailored pants na blazer ni moja kati ya mavazi ambayo unaweza kuyatumia siku hii, inaweza kuwa a full outfit kama suit ( lakini kumbuka hii ni semi formal jaribu kuiweka iwe kawaida isiwe too formal kama ambavyo unamuona sishkiki hapo chini) lakini pia unaweza kuvaa pieces separately kama crop top na pants au blazer na biker shorts etc.
- Dress
Kama utavaa gauni chagua ambalo ni simple, achana na miburuzo au too sexy dresses chagua a simple little black dress au pencil dress unaweza kuongezea accessories kama statement necklace, earrings au kuongezea blazer kwa juu mfano mzuri ni mwadada Julitha Kabete hapo chini.
- Jumpsuit
Jumpsuit ni moja ya vazi ambalo ni rahisi kuvaa na pia ni classy, chagua ile ambayo ina rangi nzuri tulivu, ongezea na clutch mkononi you are good to go
- Skirts
Inaweza kuwa pencil skirt au ukachagua ku-experiment na skirt za designs nyingine, usiogope kuvaa skirt au mavazi yenye pattern katika hafla hii as we said ni semi – formal sio full formal so have fun with your outfit, ongezea accessories, show skin, bold makeup ukitegemea kutakuwa na mziki pia so vaa kitu ambacho kitakuwezesha ku-have fun.
Usisahau…..
- Mavazi yanaweza kuwa mafupi lakini sio mafupi sana
- attention to details, chagua accessories ambazo zitaendana na mavazi yako na event
- Semi formal is all about the separates, gauni si lazima unaweza kujaribu skirt au suruali for a change.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-tanzanite-womens-forum-lunch-na-nini-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-tanzanite-womens-forum-lunch-na-nini-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-tanzanite-womens-forum-lunch-na-nini-cha-kuvaa/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 53734 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-kuhusu-tanzanite-womens-forum-lunch-na-nini-cha-kuvaa/ […]