Week imeisha na tunaanza mpya kesho, well tumeona mitoko ya watu maarufu mbalimbali ambayo mengine tulipata kuiongelea na mengine hatukupata nafasi hio. Basi kwa yote kwa ujumla tunakuletea hapa upate kujua mtu maarufu gani ameharibu na nani amependeza week hii.
Tuanze na Millen Magese, Millen amepost picha yake katika ukurasa wa Instagram akiwa amevalia sinderella dress kutoka kwa mbunifu @donamatoshiofficial, we love her dress, makeup, hair & the black dress. Ameonekana kama a black barbie doll.
Lavie Makeup akiwa amevaa pink number kutoka kwa mbunifu Kyamirwa, Ilikuwa ni wedding guest dress. She looked like a Godess. Her body is goals & Lavie needs a personal account ili awe ana tubless na hizi looks.
Nandy, Tulimoungelea yeye akiwa na stylist wake mpya. This colorful looks is our favorite, She Slayed The Week.
Tukiongelea street style, tumependa outfit ya actress Irene Paul. Amevalia yellow & Blue Pallazo akiwa amemalizia muonekano wake na blue pull neck top na gold heels. We love the outfit we have mixed feelings about the hair.
Kwa wanaume Petit Man killed this pink suit,
Week hii ambae tumemuona ame play her self ni Nisha, Not once but twice in one week, Kama ambavyo tulisema katika post yetu ya Instagram Nisha anahitaji msaada. Stylist inabidi mumsaidie huyu msanii. She just dont get it. hajui nini avae na nini wapi wala saa ngapi ana hitaji hair stylist pia, wigs anazozivaa ni za mwaka 47 sasa hivi wanavaa wachekeshaji wakiume wakiwa wanataka ku-act kama wanawake she is a messy.
Usisahau kutuambia nani kakuvutia na nani umeona mmh huyu ana walakini kupitia katika account zetu katika mitandao ya kijamii Instagram, Facebook na Twitter
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-nani-amependeza-na-nani-ameenda-mlama-week-hii/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kujua-nani-amependeza-na-nani-ameenda-mlama-week-hii/ […]