SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

PATA KUMJUA HAMEED ABDUL MBUNIFU KUTOKA MOROGORO
Mitindo

PATA KUMJUA HAMEED ABDUL MBUNIFU KUTOKA MOROGORO 

Afroswagga imefanya mazungumzo na mbunifu Hameed Abdul mbunifu anae chipukia kwa kasi anae fanyia shughuli zake za ubunifu mkoani morogoro, Tumefanya mahojiano nae kuhusu kazi yake ya sasa aliyoitoa kwa ajili ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Eid.

IMG-20150713-WA0010

afroswagga- tuelezee kidogo kuhusu wewe na lini umeanza ubunifu?

Hameed- mimi naitwa Hameed Abdul, nilianza kudesign tangu nina umri wa shule ya msingi lakini kujitumbukiza katika fashion industry ilikua ni mwaka 2011, kuanzia apo nikashiriki katika mjukwaa mengi Tanzania na Nje.

Afroswagga- JE? una fanya kazi za kiume au na za kike pia?

Hameed- Actually napenda sana kudesign nguo za kike, na naona naweza (kitu hiki watu wengi hawafahamu) ila ni kazi kutafuta, na design nguo za KIUME na mara chache za kike, usije ukashangaa next collection zikiwa za kike tupu, jibu nafanya nguo za KIUME na za kike kwa mbali.

IMG-20150713-WA0011

Afroswagga- nimeona katika collection yako ya Eid na Ramadhani umetumia rangi za pink na nyekundu nini kime ku-insipire kutumia rangi hizo? maana ni mara chache kwa wavulana kutumia rangi hizo

Hameed- Rangi hizi zote zinatumika kwa mwanaume, kilicho ni inspire kutumia rangi ya pink na nyekundu ni kuweka ladha ya mwonekano wa collection yangu.

Afroswagga- JE? ni kwanini uliamua kubuni mavazi ya Eid na Ramadhani wakati ni ya muda mfupi yaani mwezi mmoja?

Hameed- nimebuni mavazi ya Ramadhani na Eid ili clients wangu wapate mavazi mazuri na tofauti katika kipindi hiki, lakini pia mavazi haya unaweza kuvaa muda na kipindi chochote inategemea na sehemu.

IMG-20150713-WA0013

Afroswagga- Ni ugumu gani unapata ukizingatia unafanya kazi mkoani?

Hameed- kiukweli ugumu ninao upata ni kuwa mbali na clients wangu,kwa sababu wateja wangu wakubwa wapo dar na nje ya Tanzania na mikoa mingine

Afroswagga- Je kuna chochote unataka kuwaambia wateja wako na Watanzania kwa ujumla?

Hameed-napenda kuwaambia watanzania kuwa tupende vya kwetu nikiwa na maana fashion industry Tanzania imekuwa na designers wanafanya vizuri katika tasnia ya ubunifu ndani na nje ya nchi.

 

Related posts

6 Comments

  1. chocolate golden balls near me

    … [Trackback]

    […] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

  2. เครื่องคอริ่ง

    … [Trackback]

    […] Here you will find 8041 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

  3. maltipoodle

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

  4. dried mushrooms for sale oregon​

    … [Trackback]

    […] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

  5. pgslot

    … [Trackback]

    […] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

  6. chiappa rhino arm

    … [Trackback]

    […] There you will find 19123 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-hameed-abdul-mbunifu-kutoka-morogoro/ […]

Leave a Reply