Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake.
AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza elezea passion for Fashion hasa styling ilianzia wapi?
VAAZI: Kwakweli So far so good, Passion for Fashion /Styling nikipaji changu toka utotoni, Nilipata uthubutu wa Kuanza rasmi baada ya kujitolea maranyingi backstage za fashion shows hususani Swahili Fashion Week na kupata Certificate. Ndipo the Stylist Industy ilinipa support kubwa sana mpaka nilipo fikia sasa .

AFRO: Ukilinganisha hapo awali na sasa wasanii wa kazi sanaa, siku hizi huweza kutumia stylists katika kazi zao. Mwamko ukoje na wanawatumia ipasavyo?
VAAZI: : Mwamko ni mkubwa kwa sasa ukilinganisha na zamani, wasanii wameona umuhimu wa Styling katika Sanaa zao. Kiujumla Wasanii wanajitahidi kwa asilimia kadhaa kutumia ma Stylist kupendezesha kazi zao.
AFRO: Hii ni collection yako ya ngapi? Waweza tutajia JINA na inspiration behind it maana fabric choices ni za kipekee
VAAZI: Hii ni Collection yangu ya kwanza, kiukweli I was inspired by the Tanzanian Fashion Festival theme (Summer) and I believe that Life is colorful.

AFRO: Miaka 5 mbeleni, wajiona ukiwa wapi kama stylist pia mbunifu wa mavazi?
VAAZI: : Naamini kazi zangu zitajulikana kimataifa zaidi..
AFRO: Designers wanaokuinspire/kuvutia hapa nchini na nje ya nchi?
VAAZI: Designers wa ndani ya nchi ni Lucky Creations na Doreen Mashika Na wa nje ya nchi ni Richie Mnisi,South Africa na Oliver Rousteing, Balmain

AFRO: Stylists wanaokuinspire/kuvutia hapa nchini na nje ya nchi?
VAAZI: Stylists ni -Rio Paul, Noel Ndale na Macrida Joseph. Nje ya nchi ni Sammy Ratelle (Billy Porter’s stylist), Denola Grey from Nigeria, Marmen Lilly (Rihanna’s stylist), Laury Smith (Lady Gaga’s stylist)
AFRO: Ni msanii wa kazi za sanaa gani ungependa kufanya naye kazi?
VAAZI: Mafikizolo na Sauti Solo

AFRO: Ushauri gani wampa kijana nyumbani mwenye mapenzi na fashion lakini amejawa uwoga na ari ya kutokuthubutu pia hajui pakuanzia?
VAAZI: Awe na uthubutu na ujasiri wa kufanya anacho kiamini, vilevile asiogope kujifunza kutoka kwa watu mbalimbali au wakongwe katika sanaa ya ubunifu na mitindo.
Interview imefanywa na kuandikwa na @willibard_jr
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 28798 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-na-mbunifu-vaazihusiyo-yajua-kuhusu-vaazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-na-mbunifu-vaazihusiyo-yajua-kuhusu-vaazi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-na-mbunifu-vaazihusiyo-yajua-kuhusu-vaazi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-na-mbunifu-vaazihusiyo-yajua-kuhusu-vaazi/ […]