Rosemary Kokuhilwa ambae kwa sasa ana yake yapo jijini New York ni moja kati ya stylist wakubwa kutoka Tanzania, Rosemary si tu stylist bali alishawahi kuwa fashion blogger wa fashionjunkii.com, Co – Funder wa Global Fashion Newyork, pia alishawahi kuwa model lakini pia ni makeup artist, Rosemary ni moja ya wanawake ambao tunaweza kusema they can do it all.
Kuhusu Rosemary alizaliwa Bukoba, na kulelewa na kukulia Dar Es Salaam baada ya shule akaanza kuwa mwanamitindo akiwa chini ya faces international, modeling agency ya kwanza kabisa Nchini Tanzania.
Leo tunamuongelea kama stylist ambae alisha vizuri miaka ya 2000, Rosemary kama angekuwepo Nchini basi angetufikisha mbali sana ni moja ya wadada ambao wanajituma kufikisha kazi zao mbali, amesha wahi kufanya kazi na world-renowned photographer wa Miss Universe Fadil Berisha and also as the key stylist for Boston Fashion Expose when the first Global Fashion New York Inc fashion show was produced.
Imekuwa kawaida kwa Rosemary ku-participate katika New York Fashion Week na Paris Fashion Week hapa ndipo unapojua she doesn’t joke linapokuja katika swala la fashion.
Mwaka 2013 Rosemary alipata nafasi ya kumstyle model wa kimataifa wa nchini Sudan Kusini, Alek Wek ambaye ameonekana kwenye cover la kwanza la jarida la Forbes Life Africa.
Mwaka 2015 Rosemary alipata nafasi nyingine kubwa ya kum-style mwanamitindo Flaviana Matata katika jarida la New African Woman
lakini si tu Flaviana bali na muigizaji mkubwa Duniani Thandie Newton
Mwaka huu tumeona kazi ya Rosemary katika Cover ya gazeti la Genevive Magazine akiwa amem-style mwanamitindo Happiness Magese
Ambacho tunaweza kusema Rosemary has done & still doing great work as a stylist, kwa upcoming stylist you should real take notes from her wakati mwingine sio tu kuwa na jina lakini nini unafanya na wapi unafika kupitia jina lako,
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-rosemary-kokuhilwa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-rosemary-kokuhilwa/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-rosemary-kokuhilwa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-rosemary-kokuhilwa/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 99097 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pata-kumjua-stylist-rosemary-kokuhilwa/ […]