Hello Afromates its a been a minute lakini tumerudi na mjiandae na vitu vipya na vizuri, leo tumeona tuwaletee rangi inayotamba kwa sasa. Pantone walitaja rangi ya Living Colar akuwa rangi ya mwaka 2019 hii ni peach shade ya pink ni kama rangi ya carrot hivi na tumeona designer wakiwa wamesha anza kuitumia katika kazi zao.
Peach kwa sasa ndio rangi inayotamba mitandaoni watu maarufu mbalimbali wameonekana kuvalia rangi hii hasa katika vazi la suit, well its a very calm color ambayo inaweza kuingiliana na rangi nyingine nyingi.
Tumemuona Stylist Noel Ndale akiwa amevalia suit hii ya rangi ya peach akiwa amevalia na round tee ndani ya rangi ya green na viatu vyeusi, love this look on him so classic.
Mwanamuziki Nandy nae ameonekana akiwa kwenye suit ya rangi hii kutoka kwa mbunifu Chidy Designs,tumependa jinsi alivyoonekana tofauti tumeshamzoea Nandy akiwa kwenye outfit za casual kumuona in business look ni kitu kipya.
Mwanamuziki Cyrill nae hakutaka kupitwa tumemuona akiwa amehudhuria harusi na suit ya rangi ya peach pia and we love his look.
well know you know nini kina trend kwa sasa katika upande wa rangi.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/peach-perfect/ […]