Lile tamasha kubwa la Fashion Afrika Mashariki Swahili Fashion Week (SFW). Likiwa limebakiza siku 27 tu ili kufanyika, leo mchana wametoa nafasi kwa Watanzania na Wanafrika Mashariki kwa ujumka kupendekeza washiriki katika vipengele mbalimbali vya Tamasha hilo ambalo mwisho litatoa washindi wa mwaka huu wa 2015.
vifuatavyo ni vipengele na namna ya kupende mhusika unayehisi anastahili kushiriki katika tamasha hili.
Unaweza kumpendekeza mtu umpendaye kwa kufanya yafuatayo:
1. Nenda kwenye uwanja wa ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kwenye simu yako.
2. Andika Code ya Kipengele
3. Andika jina la mhusika.
4. Tuma kwenda namba +255 0763 668 282.
Mfano: Kuipendekeza afroswagga.com kushiriki katika kipengele cha Blog bora ya fashion kwa mwaka 2015, Nenda kwenye uwanja wa Message kisha andika maneno >>SFW BLOG AFROSWAGGA.COM<< kisha tuma kwenda hiyo namba hapo juu.
Lakini pia unaweza kupendekeza kupitia barua pepe (E-mail) kwa kufata mlolongo wa hapo juu na kusha kutuma kwenda awards@swahilifashionweek.com.
Unaweza kupata taarifa zaidi kuhusu Swahili Fashion Week kupitia Tovuti yao ya www.swahilifashionweek.com
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pendekeza-mshiriki-swahili-fashion-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/pendekeza-mshiriki-swahili-fashion-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/pendekeza-mshiriki-swahili-fashion-week/ […]