Katika segment yetu mpya ya plus fabulous tumepata nafasi ya kufanya mahojiano na mwanamziki, mfanyabiashara na mdau wa utalii, Nakaaya sumari ambapo tumeweza kuongea nae kuhusu maoni yake juu ya body shamers na plus size, soma hapo chini kujua nini maoni yake,
AFS: Tuanze Na Historia Yako Kwa Ufupi.
Nakaaya: Naitwa Nakaaya Abraham Sumari. Naishi Arusha. Ni mwanamziki, mfanyabiashara na mdau wa utalii.
AFS: Wakati Tunaanza Kumuona Nakaaya (Mr. Politician) Alikuwa Medium Size, Umeongezeka umewezaje Ku-keep na Fashion na Mabadiliko Ya Mwili?
Nakaaya: Miili yetu hutofautiana kwa sababu mbali mbali. Ilinisumbua sana mwanzoni ila nikaamua nilijikubali na pia nikawa nafatilia sana watu kwenye tasnia ya fashion plussize. So nikaamua naweza kupendeza huku nafanya kazi mwili wangu taratibu bila pressure za mitandaoni au za jamii.

AFS: Kama Mwanamziki Plussize do you feel pressure to look a certain way physically?
Nakaaya: No I don’t feel any pressure anymore. I love who I am. I love my ability to sing well and it’s really not about anyoneβ¦ Its about me feeling great in my own skin. π
AFS: Unawezaje Ku-keep Up Na Body Shamers?
Nakaaya: Body shamers are just tortured souls. Tuwahurumie tu. I’m a lioness. Lions do not concern themselves with the opinions of sheep π

AFS: Tupe Thoughts Zako Kuhusu Body Surgeries?
Nakaaya: Well I don’t really have a strong opinion on it. Nawaza kama mtu anaweza akabadili au kurekebisha kitu asichokipenda ndani yake kwa njia salama, then my all means do it. If not- don’t. It’s really that simple Whatever makes you happy honey!
AFS: Tips For Young Plus Sized Ladies On How They Can Love Themselves The Way They Are?
Nakaaya: understand your body type and dress accordingly. Be confident. Be healthy. That’s all. If you don’t like something about yourself- change it.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…