AFS: Tukufahamu Kwa Ufupi?
Shuu: naitwa designed by shuu
AFS: Kwanini Uliamua Kufanya Wedding Dresses?
Shuu: kwa sababu ni kitu ambacho napenda toka nikiwa mdogo kifupi napenda mitindo na urembo

AFS: Huwa Unatoa Wapi Inspiration Zako?
Shuu: Nikiangalia nilipotoa napata nguvu ya kupambana zaidi! Mimi ni Mschana ambaye nimetoka kwenye familia Duni, Familia ambayo mentality Mwanamke ni tegemezi kwenye Familia! Mara zote nimekuwa nikitamani kuwa kinara na tegemezi kwa jamii yangu ndio maana napambana zaidi!
AFS: Unafanya Sana Kazi Na Plussize Je Huwa Unapitia Ugumu Gani?
Shuu: kwa upande wangu hakuna ugumu wowote kwa sababu mi mwenyewe ni plussize hivo vibonge wenzangu hawanisumbui kabsaaa

AFS: Vitu Gani Huwa Unazingatia Pale Unapomvalisha Bibi Harusi Ambae Ni Plussize
Shuu: Tumbo na maziwa hivi vitu viwili hua Niko makini navyo sana
AFS: Ni Namna Gani Unataka Wateja Wako Wajisikie Wanapovaa Mavazi Yako
Shuu: kiukweli napenda waifurahie kazi yangu na kupenda kile nimechompa

AFS: Ugumu gani huwa unapitia katika kazi yako?
Shuu: kuchelewa kulala tu mara nyingi nautumia usk kufanya kazi zangu
AFS: Gauni Gani Ambalo Umeshawahi Kutengeneza Na Ukalipenda Zaidi Ya Yote?
Shuu: Dress ya orange nilimshonea mteja wangu

AFS: Chochote Ambacho Ungependa Kusema
Shuu: kwanza napenda kuwashukuru wateja wangu kwa saport kubwa wanayonipa pia napenda kuwaambia kuna vingi vizuri vinakuja wakae tayari 🙏🏻 Asante
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/plus-fabulous/pata-kumjua-shuu-designer/ […]