Rehema Chalamila ni mwanamuziki wa bongo flava ambae alitamba sana miaka ya 90 na 2000 mwanzoni, japo Rehema alikuja kupotea sababu ya matatizo fulani fulani. Kabla ya Rehema kupotea hatukua tuna muona kama mwanamuziki tu bali pia kama fashionista (fashion icon).
Watu wengi walikuwa wanaangalia nini Ray C kavaa na wao wanavaa kama tuna kumbukumbu nzuri alikua na suruali ambazo watu waka zipa jina lake.
Leo tunaona Ray C ana taka kurudi na pia bado ana jitaidi kukeep up na mitindo hizi ndizo picha alizo ziweka hivi karibuni na tume penda mavazi yake
Casual Ray C akiwa na stylist Noel Ndale
Denim On Denim na Cage heels
Ray c akiwa amevalia Cardigan nyekundu, black top, jeans ya blue na thigh high boots zenye kisigino, well she goes with trends na tume penda.
we can’t wait to see anacho kuja nacho na yeye kurudi kwenye fashion kama zamani
tembelea pia katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…