SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

PUT SOME RESPECT ON RAYC’S NAME
Mitindo

PUT SOME RESPECT ON RAYC’S NAME 

Rehema Chalamila ni mwanamuziki wa bongo flava ambae alitamba sana miaka ya 90 na 2000 mwanzoni, japo Rehema alikuja kupotea sababu ya matatizo fulani fulani. Kabla ya Rehema kupotea hatukua tuna muona kama mwanamuziki tu bali pia kama fashionista (fashion icon).

Watu wengi walikuwa wanaangalia nini Ray C kavaa na wao wanavaa kama tuna kumbukumbu nzuri alikua na suruali ambazo watu waka zipa jina lake.

Leo tunaona Ray C ana taka kurudi na pia bado ana jitaidi kukeep up na mitindo hizi ndizo picha alizo ziweka hivi karibuni na tume penda mavazi yake

Casual Ray C akiwa na stylist Noel Ndale

14288094_1233717300034168_455239994_n

 

Denim On Denim na Cage heels 14448440_1803231386565463_1864753020420489216_n

 

Ray c akiwa amevalia Cardigan nyekundu, black top, jeans ya blue na thigh high boots zenye kisigino, well she goes with trends na tume penda.

we can’t wait to see anacho kuja nacho na yeye kurudi kwenye fashion kama zamani14487244_169850753463015_8464995427878436864_n

tembelea pia katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii

Facebook – afroswaggamag

Twitter – afroswaggatz

Instagram – afroswagga

Related posts