Quiin Abenakyo alishinda Miss Uganda mwezi wa nane mwaka huu, ambapo alikwenda kushiriki Miss World Sanya, China na kufanikiwa kushinda taji la Miss Word Africa 2018, amerudi Nchini kwao Uganda na kupata nafasi ya kuonana na Rais Wa Nchi hio Yoweri Museveni.
Baada ya kuonana kwao Rais huyo kutoka Uganda aliandika maneno haya katika ukurasa wake wa Twitter akimaanisha kwamba miss huyu ni mrefu, mzuri kutoka Musoga, lakini wasiwasi wake ni kwa miss huyu kuvaa Indian hair, Na kwamba amemuhamasisha awe anavaa / kutumia nywele zake za asili, Na kwamba inatakiwa tuonyeshe Uzuri wa Africa katika uasilia.
Well wapo ambao walipingana nae na wapo ambao walikubaliana nae lakini BBC ilifanya mahojiano na Miss Uganda 2018, Quiin Abenakyo ambae yeye amesema anakubaliana na Rais wake lakini pia hupashwi kum-define mtu kwa nywele au anachofanya kama upo comfortable ndicho kinacho matter
well afro mates tuambie unazani ma-miss wetu waendelee au waache kuvaa hizi wigs?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 54113 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rais-musseveni-amuhamasisha-miss-uganda-2018-kutokuvaa-nywele-bandia/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rais-musseveni-amuhamasisha-miss-uganda-2018-kutokuvaa-nywele-bandia/ […]