Wanaume wengi hawapendi kuvaa mavazi yenye rangi rangi mara nyingi rangi zao wao ni zile zilizopoa hasa hazina kelele nyingi, Kwa upande wa vazi la suit wanaume hupendelea kuvaa rangi nyeusi, navy blue, khakhi au rangi nyingine zilizopoa lakini kumbe inawezekana wao kuvaa rangi za kuonekana kidogo japo si kushout sana kama soft pastel colors.
Katika pitapita zetu tumekutana na baadhi ya watu maarufu wa kiume wamevaa suit zenye rangi kidogo na zikatuvutia kuwaletea na ninyi hapa uka pata idea ya rangi ipi unaweza kuongezea katika kabati lako la suit.
Tulimuona Harmonize akiwa amevalia suit ya blue kutoka kwa mbunifu Martin kadinda, kumalizia hii suit Harmonize alivaa shirt nyeupe kwa ndani na viatu vyeupe, amemalizia na ku accessorize na miwani, saa na hereni.
- tumependa kuona Harmonize amepewa muonekano wa tofauti kama ambavyo tunajua Harmonize ana dark skin color, anahitaji kuvaa vitu ambavyo vinarangi kudogo ili kufanya a-pop, the color fits him well na jinsi ambavyo amekuwa styled ni perfect.
Msanii kutoka katika kundi la The Mafiki, Mbalamwezi acoustic tulimuona akiwa amevaa suit kutoka kwa mbunifu Ki2pe ambayo ilikuwa na rangi ya peach, tumependa rangi ya hii suit japo ina rangi kidogo lakini imetulia, tunatamani wange i-style vizuri zaidi ya hapa sababu kama wameishusha hivi ukali wake kwa kui-style vibaya. Rangi nzuri suit imeshonwa vizuri unaweza kustyle na shirt jeupe au jeusi ikapendeza zaidi.
Msanii na muigizaji Romeo yeye tulimuona akiwa katika pink suit, he looked dapper. tumependa alivyo ivaa na rangi ambazo zipo calm zaidi kuliko suit kama ungependa kufanya rangi ya suit yako isipige sana kelele unaweza kuivalia na neutral colors kama ambavyo Romeo amefanya hapa.
Rapper Jay Z na yeye alionekana akiwa amevali suit ya rangi ya kijani, akiwa amestyle na chain kubwa ya gold.
Kama ambavyo mmeona Pastel suits are in, unaweza kuvaa kwenye meetings, red carpet au hata katika sherehe mbalimbali, uta stand out na kuonekana wa tofauti. Usiogope kujaribu rangi unacho takiwa kujua ni ngozi yako inaendana na rangi gani na unawezaje kustyle rangi hizo bila kupiga kelele.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rangi-za-suit-unazoweza-kuvaa-mwanaume-ukiachana-na-nyeusi-na-navy-blue/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rangi-za-suit-unazoweza-kuvaa-mwanaume-ukiachana-na-nyeusi-na-navy-blue/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rangi-za-suit-unazoweza-kuvaa-mwanaume-ukiachana-na-nyeusi-na-navy-blue/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rangi-za-suit-unazoweza-kuvaa-mwanaume-ukiachana-na-nyeusi-na-navy-blue/ […]