Did Hamisa Mobetto just broke the celebrities fashion code? Hiki ndio kitu tunataka kuona kwa watu maarufu wetu sio tu wa kike ila na Wakiume pia⦠Hamisa amevunja ile code ya kudress kama celebrity.
Watu maarufu wengi hudhani unatakiwa kuvaa vitu vingi ili ustand out kumbe code ni wear simple and let few Statement pieces stand out mtajiuliza mh Afroswagga unaongea nini?
Well tutakuonyesha mifano michache kutoka kwa Hamisa Mobetto namna ambavyo amestand out na outfit zake,
Tuanze na hii ambayo ni recently Hamisa amevaa vitu vinne tu lakini amestand out, ukiangalia utajua hapa kacheza na color coordination na kuacha gauni iongee, the dress hapa ilikuwa statement piece alichofanya ni kuchagua rangi moja ambayo ime-go around the whole outfit ambayo ni white hii imesababisha outfit iweze kuonekana pulled together.
Outfit nyingine ni hii pia unaweza kuona ambavyo amefanya color coordination lakini cha muhimu zaidi ambacho kimefanya huu muonekano ustand out ni hio ankle bag, without that ka-bag angependeza lakini hakukua na much to talk about zaidi ya kuwa a cute outfit.
Definitely unaweza kuona ambacho kimefanya huu muonekano u-pop ni boots, the outfit ni full black adding those statement boot zimeupgrade the look, yes sometimes you only need one piece to upgrade your look.
As a celebrity unahitaji kuwa simple yet classy ukiangalia hizi outfits unaweza kuzipata mtaani lakini ni namna ambavyo Hamisa amezi-style zimefanya kuonekana tofauti, we are here for this transformation.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…