Well juzi ilikuwa siku ambayo wengi walikuwa wakiisubiria ambapo msanii, mchekeshaji na mtangazaji Idris Sultan alikuwa akizindua brand yake ya viatu vijulikanavyo kama “SULTAN BY FOREMEN”. And tunakuletea a simple review ya black carpet katika uzinduzi wa viatu vyake.
As usual Idris alitudatisha na kuendelea kupendeza akivalia a dark brown suit kutoka kwa Mtani Bespoke styled by Rio Paul. Chini alivalia viatu toka katika brand yakeHakika he was among the best dressed.
Mtangazaji Tahiya George topped our best dressed akiwa ndani ya a red velvet dress and silver shoes huku nywele zake fupi za kunyoa zikiwa na a dark blonde colour. Gauni la Tahiya limebuniwa na mbunifu anayechipukia Saleh Hamimu.
Pia stylist maarufu nchini alipendeza akiwa ndani ya suit ya purple kutoka kwa mbunifu JReason toka Nigeria. Rangi ya suit hakika imetuvutia and akiwa among best dressed list kwa wanaume.
Also manager na rafiki wa Idris Docta Ulimwengu was among the best dressed pia akivalia a deep red velvet coat with the rest being all black pamoja na viatu toka kwa Idris’ brand. Docta Ulimwengu wa kwanza kulia
Pia mbunifu huyu alimvalisha na kumpendezesha the one and only Mine Spartan ambapo alivalia an air force blue coloured mini dress. We loved the mini dress an details zake.
Pia mbunifu wa mavazi Martin Kadinda alitokelezea kitofauti as wengi hutegemea a formal suit bali alistyle shati lake with a scarf yenye maua, a too simple look for such an event.
Pia Dullah Spartan alivutia macho ya wengi kwani alitupia vilivyo for the black carpet. Miwani, suit yake ya blue with squares vilivutia sana. Ila viatu tu, havikuweza kuendana na kukamilisha muonekano wake. Dulla wakwanza kushoto
mwanamuziki Luludiva also was among our best dressed female ceberities. Alitokelezea at the black carpet with a golden yellow laced dress. Gauni hili did make a statement as lilikuwa na mkia toka kwa mwanadada Rehema Jonas (Rey Jons). Pia her makeup and hair vilikuwa on point.
mastaa mbalimbali wa muziki walikuwepo na waliotuvutia ni Izzo Business ndani ya a peak three piece suit toka kwa mbunifu anayechipukia Frank Manyama.
And rocking her Kitenge mini dress with lovely patterns was kutoka kwa the House of Stylish ni star Husna Maulid. Gauni lake toka kwa Wolper lilivutia macho yetu. Imeonekana magauni mengi toka kwa Wolper kuwa na design na material zile zile hivyo hili, lakini hili la dada Husna lilikuwa la kipekee. And her yellow shoes vilimatch vyema na gauni lake. Also her hair and make up ilikuwa on point.
Msanii Quick Rocka alipendeza pia akivalia a grey suit.
Pia host wa kipindi cha Storm tv was also among slayers akiwa styled na mbunifu Saleh Hamimu. She rocked an all white coat and shorts zikiwa paired na black Chelsea high wedged boots matching her top.
Ila wapo baadhi ya maceleb waliweza kutunagusha katika utupiaji ambapo msanii wa filamu Gabo Zigamba topped our mens worst dressed list. Muonekano wake wa kichwani haukuwa umetengenezwa as the hair na ndevu was a mess. Pia koti likiwa a bit oversized.
Msanii wa hihop Fid Q pia had poor styling maana viatu na kofia yake vilimuangusha and were not fit for such a black carpet.Fie Q katikati
Host wa event, mtangazaji Lil Ommy hakuimpress pia as suit yake toka kwa ki2pe did him no justice plus the shoes were badly styled
imeandikwa na Willibard_jr
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/red-carpet-review-sultan-fore-men-shoe-launch-event/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/red-carpet-review-sultan-fore-men-shoe-launch-event/ […]